Wanaume waleo vs wanaume wa zamani

Kwa jinsi ulivyoandika hii comment pamoja na comments zako hapa jamvini wewe ni aina ya wanawake wa kisasa ambao umejielezea hapo kwenye bolded items.
Umeamua kusema hivyoo because ulishakanyaga mto wenye mamba wakakukulq huna lolote
 
Hamjui hata kuomba hela kiakili mnaforce mlisaidia kumpatia
 
Umenena vyema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…