Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Kuna mtoto wa dada yangu alioa mwalimu, watu wakaanza kumsema umempendea nini huyu mwanamke. Kumbe alilenga mbali. Alijua wazazi wake hawana kipato kikubwa so akioa mwalimu wazazi watatibiwa kwa bima, yeye anafanya bishara zake so anatibiwa yeye, watoto na wazazi wake. Mpaka leo ni 15 years wako pamoja. Aliachana na pisi kali hiyo ,ilikuwa na vizinga na kupenda mambo makubwa.
Vijina wasiku hizi mnapenda vitonga aisee kwanini asitafute pesa zake, halafu bima ni kitu kidogo sna ni elimu tu watu hawajapata ya kutosha kuhusu bima.
Kukata bima inawezekana kwa kila mtu hatakama ujaajiriwa tena the good news ni kwamba bima ya kukata mwenyewe haipo limited kama ya waajiriwa ambazo zinachagua ugonjwa.

Kwahiyo ndugu yako alioa kwa kufuata 25,000 ya bima kila mwezi ya mwalimu.
 
andiko bora kabisa kupata kutokea jF

LIKUD umepiga panapouma, ndiyo maana victims wamekuja na mapovu mubashara
 
Vijina wasiku hizi mnapenda vitonga aisee kwanini asitafute pesa zake, halafu bima ni kitu kidogo sna ni elimu tu watu hawajapata ya kutosha kuhusu bima.
Kukata bima inawezekana kwa kila mtu hatakama ujaajiriwa tena the good news ni kwamba bima ya kukata mwenyewe haipo limited kama ya waajiriwa ambazo zinachagua ugonjwa.

Kwahiyo ndugu yako alioa kwa kufuata 25,000 ya bima kila mwezi ya mwalimu.
Bima ipi unasemea wewe? Ulishawahi kulazwa ICU halafu ukatumia hiyo bima yako ya elfu 25 kwa mwezi? Bima za afya kwa watu binafsi ni majanga. Labda kama unakata zile za makampuni binafsi ambazo wazazi hawahesabiwi na hela yake ni ndefu. Ndugu yetu kalazwa muhimbili ICU zimetoka M5 kwa wiki moja na bima alikuwa nayo. Walimkatia NHIF ya mtu binafsi.
 
Tatizo la kuoa bila mapenzi ni kuvumiliana. Zikishafika zile stage kanya kasahau kuflash na kujambiana usiku unaweza mpiga na kitu kizito sana na ukasahau kuwa ulimuoa ili akutolee dhamana na ndo ushajeruhi wa kukutolea dhamana.
 
Tatizo la kuoa bila mapenzi ni kuvumiliana. Zikishafika zile stage kanya kasahau kuflash na kujambiana usiku unaweza mpiga na kitu kizito sana na ukasahau kuwa ulimuoa ili akutolee dhamana na ndo ushajeruhi wa kukutolea dhamana.
Kwa wanawake wa sasa ukiowa mwanamke kwa kigezo cha upendo uneumia.
 
Kwa wanawake wa sasa ukiowa mwanamke kwa kigezo cha upendo uneumia.
Upendo sio kigezo kikuu, ila mapenzi inabidi yawepo tu. Kukaa na mtu humpendi itawezekana kweli? Hata akibanja tu utataka aondoke hapo ulipo.
 
Wengine tumeoa kwa sababu mbili tu.
1. Kuzaa
2. Kusikiliza gubu za wanawake.
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Akili nyingi sana mzee...vijana kunyweni maziwa hayo.
 
Kweli kbs, mke ni taasisi anatakiwa awe na ofisi yake kabisa ya kushughulikia mambo ambayo anakuwa assigned, hii taasisi haihusiani na uzuri wala shape ya mtu bali ni yeye yeyote ambaye una uhakika atamudu kazi zake

Sio mapenzi kama inavyotrend na ndo maana tunaona matokeo mabaya.
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Ushamba na kutojua maisha
 
Kweli kbs, mke ni taasisi anatakiwa awe na ofisi yake kabisa ya kushughulikia mambo ambayo anakuwa assigned, hii taasisi haihusiani na uzuri wala shape ya mtu bali ni yeye yeyote ambaye una uhakika atamudu kazi zake

Sio mapenzi kama inavyotrend na ndo maana tunaona matokeo mabaya.
Ur the true son of ur father
 
We mtoa mada una habari kuna mtu alioa hapa daslamu kisha wakaenda dubei kufika tu akaanza kuzimia zimia ili apepewe yule mwanamke anamkodolea jicho tu alvyozimai mara ya saba kuamka mke kasepa anaanza kulalama tu
 
Uelewa wako upo chini Sana mkuu

Jielimishe acha uvivu

Mtoa maada ameeleweka vizuri mno

Nadhani hili ndio andiko Bora kabisa litakalowasaidia wanaume wanaotamani kuingia kwenye ndoa

Binafsi nitalitumia hili andiko

Asante mtoa maada
Ahsante Mungu hili bandiko nimeliona leo maana ningeliona huo mwaka uliolibandika ningemaindi sana maana nilikuwa naishi na mtu niliyempenda to the fullest,,
Ghafla mwaka huu mwanzon akanibadilikia baada ya Lime light kuzima.
Yeye hakujali kama ataniangamiza au lah.
Sasa ajabu akatimka kwangu na kusema tuachane halafu akaniongopea kuwa ameenda mkoan kwao X baadae kuja kuchunguza kumbe kahamia tu kata ya tatu na wanangu. Iliniuma sana but no option hata nilipojaribu kumrudisha haikuwezekana maana hakwenda mbali ili aichungulie lime light yangu kama itawaka au ndio imezima mazima? Akajiaminisha kuwa imezima lakini hata ingewaka ndani ya miezi sita usingesita kuona watu wamerudi ndani ya geti na kukaa nje ya nyumba wakikusubiri urudi na kukupigia magoti kwamba Walimwengu walimdanganya hususani mashosti wake ambao bado amerudi nao kwenye simu.
Baada ya kuwa nimeridhia kuachana nae nimewaza huu mtego wa mke wangu aliwezaje kusema tuachane na akakaa kimya bila kudai talaka?
Halafu inakuwaje mtu anasema tumeachana anaquit na bado anajificha usijue alipo na anaendelea kufuatilia taarifa zako? Ni kuachana kwa aina gani huku?
Nikapata jibu kuwa huyu alikuwa amejiengua ili kwenda kuisikilizia hali yangu ya pesa ikushoot arudi kuja kunisumbua hata kama nitakuwa nimeoa mke mwingine maana round hii hatorudi kama ambavyo ujinga wangu utakuwa unanituma kuwa atasubmit kwangu no atakuja na suprise attack iliyosheheni Money mongers like Lawyer, police and co.
Which is the best step now? Nishaurini wazee..@LIKUD.
 
[emoji3][emoji24][emoji1787] mkuu umeua kabisa Mimi moja yasababu yakumuoa wife ni koo inayojiweza Kwa kifupi wanamali haswa, yaani MTU unapambana ukipata mtihani kidogo wa kifedha hata wakukusaidia Huna na uathirike mjini SASA Sjui Hilo tako na Sura yamke sijui litaisaidia NN maisha kupanda na kushuka SASA yakishuka atleat unapakuanzia.

Tako linaisha
Sura inazeeka
Chuchu saa sita zinakuwa Kumi na mbili
Shape akizaa inakuwa kituko....
Mkuu ukioa kisa tako hakikisha una flow ya pesa kutoka kwa LUCIFER mazima maana hapo wewe ndio utawahi kuisha zibaki pesa. Tofauti na hapo ujue kuwa pesa ikipungua tu anaanza kuitumia ile silaha yake ambayo ni tako kukuua kwa kihoro hata kama kuna wahuni tulikuwa tumeambiwa usipige simu usiku tunaanza kutumiwa sms usiku ili tupige simu na wewe ukiwepo
Au tunachatishwa makusudi na wewe upo.
Hebu chukua hiyo picha ya kumuona mkeo yuko busy kwenye simu ambayo umemnunulia wewe anatype mara kibao vitu ambavyo hujui vinahusiana na nini na mkao wa sura amekuwekea ule unaoashiria niulize tu nilianzishe nikuachie chumba chako nihamie chumba cha pili.
Chukua hii vijana wote kwa matumizi yenu ya leo na kesho hata vipite vizazi na vizazi bado itasimama tu sina shaka juu ya hii kauli::

Ukiona mwanaume ameachana mazima na mwanamke mzuri wa kila kitu aliyempenda mno yaani mwanaume amempenda huyo mwanamke sana kupitiliza akaja akamuacha tu kwa amani bila kumdhuru, ujue huyo mwanaume ni shujaa sana yaani amekwepa na kuvumilia risasi nyingi sana za moyo na mpaka hapo moyo wake unakuwa na bonge la donda litakalovuja damu kwa ndani mpaka kufa kwake.
 
Vijina wasiku hizi mnapenda vitonga aisee kwanini asitafute pesa zake, halafu bima ni kitu kidogo sna ni elimu tu watu hawajapata ya kutosha kuhusu bima.
Kukata bima inawezekana kwa kila mtu hatakama ujaajiriwa tena the good news ni kwamba bima ya kukata mwenyewe haipo limited kama ya waajiriwa ambazo zinachagua ugonjwa.

Kwahiyo ndugu yako alioa kwa kufuata 25,000 ya bima kila mwezi ya mwalimu.
Kuna miezi hautakuwa na hiyo 25k broo underate it but there comes a day utaelewa kwann watu wengi wanapenda kuajiriwa duniani kuliko kujiajiri hapo ndio utapata jibu.
Serikali nyingi Duniani zinavuna kodi hazitaki kufanya biashara bali zinakutanguliza wewe individual ukabeti kwenye fursa ili wao waje wachukue kodi ambayo ni ya uhakika kutoka kwako
Unaongea as if maisha haya umeyaandika somewhere so unaishi kwa kuyasoma.
 
Mleta mada bado ni Mtoto, Ukikua utaelewa.
Unadhani Ndoa ni kijiwe cha kahawa 😀 Labda kama hiyo siyo Ndoa official ya Kanisani au Msikitini, Unadhani wazazi wako au wazee waliodumu kwenye ndoa walikuwa wajinga au hawakuwa na hizo interest? Eti oa kwa sababu ya Interest fulani, Kwa hiyo hiyo interest ikikamilika na ndoa inakuwa imeishia hapo, unahamia kwenye interest nyingine? Sasa hiyo ni ndoa au mkataba wa kazi😀 Eti unaoa kwa sababu unataka makaratasi, NONSENSE! Hautoboi hata miezi miwili! Utakuwa na msururu wa ex-wives 😀
UPENDO, HESHIMA, UTII ndiyo msingi wa Ndoa.
'
You marry simply where your heart find peace'
 
Back
Top Bottom