Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

[emoji2][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2][emoji1][emoji28]jamani kaaahhh!!!eti watoto wazuri haya wangetoka na sura z baba yao copyright!!![emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
Ndo maana alitaka mwanamke mwenye watoto tayari ili aoneepo mfano, alifatilia asili ya mwanamke husika, chotara wa kihindi/kiarabu angepata huyo pia angeoa, ama asili ya usomali, habesh tutsi aliangalia humo,,ila tu awe mtanzania kwa kuzaliwa na makuzi,aliamini hata akitoka na sura yake ila sio kwa asilimia zote,,

Halafu huyo mtu huko alishakuwa na watoto kwa mujibu wake watoto wametoka na sura personal hasa wa kike Sasa anasemaga eti kampa taabu bintiye havutii kimuonekano so hakutaka kurudia kosa, alisisitiza nahitaji mwanamke wa kutazamika anichanganyie damu anipe watoto wazuri
 
Unajua alipambana vipi na nafsi yake kuishi hivyo,

Hivi unajua upweke wa kuishi na mtu usiyempenda?? Yani uko na mtu halafu huna hisia nae

Sasa usiombee uwe situation hiyo halafu paap Mungu akukutanishe na mtu unayempenda, unaweza kuharibu kila kitu ulichojenga ili kumpata huyo mpya uliyempenda
"Huna hisia nae" ndio kitu gani?
Utandawazi unawavuruga sana watu kwa kuwalisha mind controling mashudu. Mwanaume yeyote aliye kamili lazima awe na hisia kwa mwanamke yeyote aliye kamili ( na hii ndio namna nature ilivyo tushape).

There is no such thing as love, there is only personal interests.
 
"Huna hisia nae" ndio kitu gani?
Utandawazi unawavuruga sana watu kwa kuwalisha mind controling mashudu. Mwanaume yeyote aliye kamili lazima awe na hisia kwa mwanamke yeyote aliye kamili ( na hii ndio namna nature ilivyo tushape).

There is no such thing as love, there is only personal interests.
Nakazia
 
Ndo maana alitaka mwanamke mwenye watoto tayari ili aoneepo mfano, alifatilia asili ya mwanamke husika, chotara wa kihindi/kiarabu angepata huyo pia angeoa, ama asili ya usomali, habesh tutsi aliangalia humo,,ila tu awe mtanzania kwa kuzaliwa na makuzi,aliamini hata akitoka na sura yake ila sio kwa asilimia zote,,

Halafu huyo mtu huko alishakuwa na watoto kwa mujibu wake watoto wametoka na sura personal hasa wa kike Sasa anasemaga eti kampa taabu bintiye havutii kimuonekano so hakutaka kurudia kosa, alisisitiza nahitaji mwanamke wa kutazamika anichanganyie damu anipe watoto wazuri
[emoji2][emoji2][emoji1][emoji1]jamani dunia ina mambo sana!!

Sent from my Infinix X559C using JamiiForums mobile app
 
Kuna ki njemba kimoja hakina mbele wala nyuma,Kilienda kuoa Kwa tajiri kikiwa na lengo la kuinuliwa kiuchumi na demu alikuwa alikuwa kashakielewa kijamaa licha hakikuwa na kitu.Baba mkwe alikijengea nyumba kali pamoja na mwanae na ki jamaa kikapewa mtaji saivi kina bang town na mtoto mkali wa tajiri na maduka ya jumla uchumi uki shine.[emoji2]

Sasa wewe oa kisa tako au kisa mguu wa bia au kisa umekufa umeoza kwake hujiwezi uone show yake[emoji4]
Umenikumbusha Binti mmoja hivi alienda kwa Mganga akitaka Mwanaume tajiri. Kumbe haya yanawezekana

Sent from my Nokia 1 using JamiiForums mobile app
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Genious
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Je utampa sababu hizi huyo mwanamke ili ikiwezekana naye asiwe na mapenzi ya dhati kwako?
Na wanawake nao waolewe kwa sababu zipi, japo zipo zinazoingiliana.
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Uko sahihi
 
Afadhali umesema wewe mkuu huyo jamaa ameujua ukweli lakini hataki kuukubali Kwa Sababu unamuuma Na labda amesha kosea kuoa tayari
Kuna mtoto wa dada yangu alioa mwalimu, watu wakaanza kumsema umempendea nini huyu mwanamke. Kumbe alilenga mbali. Alijua wazazi wake hawana kipato kikubwa so akioa mwalimu wazazi watatibiwa kwa bima, yeye anafanya bishara zake so anatibiwa yeye, watoto na wazazi wake. Mpaka leo ni 15 years wako pamoja. Aliachana na pisi kali hiyo ,ilikuwa na vizinga na kupenda mambo makubwa.
 
Thread hii inaonyesha Jinsi Gani Wanaume wamechanganywa na Wanawake mpaka Mmewakatia Tamaa

Mwanaume utapitia Stage zote hizo ila Moyo wako ndio utaamua. Utaoa ila Utamtafuta Ambaye Moyo wako ukimuona Utapump Fast that is Love
UKioa au kuoa kwa kigezo cha upendo pekee imekula kwako. Nilifanya hili kosa na sitakaa nirudie. Baada ya miaka 5 nikaona hatuwezi kwenda popote. I called off. Upendo una tabia ya kupungua ,kama hakuna kitu kingine cha ku offer utajuta kuzaliwa.
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Wanaume waliooa Kwa sababu ulizotaja wewe walishawahi kutendwa na hawana tumaini la mapenzi tena yaani ulimwengu wa mapenzi sio wao tena , nafsi ya mtu imeumbiwa kupenda , ili inahtajika something with negative power kuweza kuondoa hyo Hali ya kupenda , na ikishaondoka ndo ulivyosema wew kinawezekana
 
Mkuu umenena eti unaoa Demu mzuri full shape, Sura na uzuri asilia unampenda kufa alafu ukifulia watu wanaanza kukuchapia utamu wako mwisho inakuwa Shida SASA.

Ndugu mm nataka niingie Uswisi Gia yakwanza nikifanikiwa kuingia naoa nieke mambo sawa Staki Ujinga [emoji2][emoji2]
Wanaanza kukuchapia mapema tu hata kama hujafulia

Sent from my Infinix X624B using JamiiForums mobile app
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Well noted.
 
Back
Top Bottom