Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Wanaume walio oa Kwa sababu hizi ndio wamepatia kuoa

Umewaza nje ya boksi mkuu. Mojawapo ya mada fikirishi sana.

Unapooa unategemea kupata nini? Na huyo mwenzako anakuja kupata nini? Yanaonekana ni maswali rahisi lakini ukiyafikiria sana yanaeleza kila kitu.
Kweli mkuu,kabisa kabisa kabisa hata mm nimepata kitu hakika kutoka Kwa mada yajamaa

Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
 
Katika kipande cha video cha mahojiano ya Ndg Augustino Mrema na waandishi wa habari mara tu baada ya kufunga Ndoa! Amesema "nimepata mwenza kwa ajili ya kunisaidia mimi sasa ni mzee na nina kisukari nahijitaji kuchomwa sindano asubuhi kila siku huyu mama tutashirikiana nae"

Hapo sasa utagundua Mrema hajaoa sababu ya upendo ameoa ili apate huduma.

Kwa upande wa mke kwa nyakati tofauti yeye na mumewe Mrema. Amehojiwa akaishia kujingata ngata tu na kuruka ruka lakini kwa maelezo yake amefuata heshima ya mrema aliyoijengs mda mrefu kutafta Title mjini na kuendesha miradi ya Dr Mrema

Hakuna muungani usio na sababu hata mtu anaoa ili ajenge heshima kwenye Jamii na watoto ambao ni maajaliwa yake Mungu.
Fact Ruwamangi
 
Sio kweli. Mimi niliozwa kwa kile tunachoita family integrity keeping miaka hiyo na sikupata kuchagua na ilibidi niishi nae na sikupewa choice Bali ilibidi nijifunze kumpenda kadili siku zinavyoenda. Nasema hadi Sasa ni mke wangu wa miaka 31 na hatujatetereka hadi Leo.

Sent from my WAS-LX1 using JamiiForums mobile app
Jipige kifua mkuu😄😄😂😂
 
Huo ni utumbo tu! Unaoa mke kama unanunua appliance huo ni ujuha wa hali ya juu. A woman has to treat you good before decision to marry her.

Hakikisha ana genuine feelings kwako without any external boost kisha oa uone kama hata ukifulia ataleta ungese!

Huu ujinga wako danganya madomo zege wenzio ambao wanahisi mwanamke ni appliance ama gadget ambayo lazma uifeed umeme ama mafuta ndio ifanye kazi. Muendelee kutoa pesa mpaka mfe ili kulinda heshima na penzi 😅😅😅 huku siku ya kufulia ikiwa ndio hitimisho la ndoa.
 
Huo ni utumbo tu! Unaoa mke kama unanunua appliance huo ni ujuha wa hali ya juu. A woman has to treat you good before decision to marry her.

Hakikisha ana genuine feelings kwako without any external boost kisha oa uone kama hata ukifulia ataleta ungese!

Huu ujinga wako danganya madomo zege wenzio ambao wanahisi mwanamke ni appliance ama gadget ambayo lazma uifeed umeme ama mafuta ndio ifanye kazi. Muendelee kutoa pesa mpaka mfe ili kulinda heshima na penzi 😅😅😅 huku siku ya kufulia ikiwa ndio hitimisho la ndoa.
Genuine feelings ili iweje mkuu? Mimi naangalia interests zangu mkuu hayo mambo ya feelings Ni very petty issues
 
Genuine feelings ili iweje mkuu? Mimi naangalia interests zangu mkuu hayo mambo ya feelings Ni very petty issues
Watakaofuata mawazo yako watapotea kabisa from the start
Ni afadhali ndoa iharibikie kule mbele kuliko uanze na mawazo kama yako. Hiyo sio ndoa bali ndoano. Na wanawake wa siku hizi ni werevu kuliko wanaume. akishjajua tu wewe unazo hizo interest uchwara atakuingiza choo cha kike. Yaani utaachwa kwenye mataa na usijue utaenda wapi baada ya hapo
 
Genuine feelings ili iweje mkuu? Mimi naangalia interests zangu mkuu hayo mambo ya feelings Ni very petty issues
Interest zako sio ishu kila mtu ana zake ila mke sio friji ni mtu binaadamu mwenye akili zake
 
Kuna jamaa kakaa jeshini wa kujitolea OP KIKWETE kasugua Sana mpaka mkataba unaisha anaomba kuongezewa lakini wapi! mwishowe aka surrender mwenyewe ikabidi arudi kitaa kupambana na life.Eeh bwana! Katika kupambana na life sijui ni ujasiri gani aliupata sijui ni dawa au ni nini[emoji848],alimvagaa mtoto wa Brigedia na mtoto akawa haelewi Kwa jamaa huyo mpaka jamaa akataka amuweke ndani kabisa licha ya kuwa ndo alikuwa kama ana anza maisha maana ndo alikuwa ametoka kambini demu haelewi Kwa jamaa, akakubali kuolewa nae hakujali hali aliyo mkuta nayo. Jamaa Kwa kuwa amekubaliwa fresh likawa limebaki swala la kutambulishana kwa wazazi,Brigedia akataka kuleta mgomo,demu ana mwambia Baba yake Bora afe lakini siyo kuacha kuolewa na jamaa.Baba yake akalegeza mambo mengine yakafata Kwa sababu jamaa hakuwa vizuri,akasapotiwa kidogo vijipesa vya kusogeza maisha yakaendelea.Brigedia alikuwa hajui Kama jamaa aliye muoa mwanae alitoka kambini kisa mkataba umeisha,Baada ya kujua.Brigedia alimfanyia mchongo chapu jamaa jeshini mpaka sasa ni Bakabaka anaenda kuchukua kozi ya ukoplo saivi[emoji13][emoji13].

Jamaa kuja kuuliza alipataje ujasiri wa kutongoza mtoto wa Brigedia,anakwambia ilikuwa alternative kufanikisha ndoto yake na siyo kwamba demu alikuwa akimkubali kiviiilee sema alijua akimchukua mtoto wake itakuwa rahisi kwake kuingizwa kwenye system.
 
Kuna jamaa kakaa jeshini wa kujitolea OP KIKWETE kasugua Sana mpaka mkataba unaisha anaomba kuongezewa lakini wapi! mwishowe aka surrender mwenyewe ikabidi arudi kitaa kupambana na life.Eeh bwana! Katika kupambana na life sijui ni ujasiri gani aliupata sijui ni dawa au ni nini[emoji848],alimvagaa mtoto wa Brigedia na mtoto akawa haelewi Kwa jamaa huyo mpaka jamaa akataka amuweke ndani kabisa licha ya kuwa ndo alikuwa kama ana anza maisha maana ndo alikuwa ametoka kambini demu haelewi Kwa jamaa, akakubali kuolewa nae hakujali hali aliyo mkuta nayo. Jamaa Kwa kuwa amekubaliwa fresh likawa limebaki swala la kutambulishana kwa wazazi,Brigedia akataka kuleta mgomo,demu ana mwambia Baba yake Bora afe lakini siyo kuacha kuolewa na jamaa.Baba yake akalegeza mambo mengine yakafata Kwa sababu jamaa hakuwa vizuri,akasapotiwa kidogo vijipesa vya kusogeza maisha yakaendelea.Brigedia alikuwa hajui Kama jamaa aliye muoa mwanae alitoka kambini kisa mkataba umeisha,Baada ya kujua.Brigedia alimfanyia mchongo chapu jamaa jeshini mpaka sasa ni Bakabaka anaenda kuchukua kozi ya ukoplo saivi[emoji13][emoji13].

Jamaa kuja kuuliza alipataje ujasiri wa kutongoza mtoto wa Brigedia,anakwambia ilikuwa alternative kufanikisha ndoto yake na siyo kwamba demu alikuwa akimkubali kiviiilee sema alijua akimchukua mtoto wake itakuwa rahisi kwake kuingizwa kwenye system.
Safi sana
 
Nimesha copy link ya Uzi nitaitolea hard copy soon
Yaani umemaliza kila kitu.
Sura inazeeka
Tako linaisha
Titi soon linalalo yoo
Sasa ukioa kwa physical appearance utaenda kuisaidia Ukraine kulia soon
🤣🤣🤣🤣
 
Ni kweli ulichosema, ila kuwe na mapenzi + vitu vingine, business partner, urafiki, wote wapenzi wa gym, financial and moral support nk. Mapenzi huchuja hivyo lazima na vitu vingine vinawaunganisha.
Hivi Unajua Kuna Mtu Anapitia Matatizo Ya Kimahusiano Na Mpenzi Wako...???[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kama umeoa mwanamke Kwa Sababu sijui unampenda Sana, au anakupenda Sana au ni mzuri Sana blah blah blah , wewe ni kichaa. U will be dis appointed big time.

Don't marry for love but marry for your personal interests which have nothing to do with love.

Kama ukioa for ur personal interests basi hata single mother mwenye watoto watano Kila mmoja Na baba ake unaweza kumuoa as long as ur union with her will guarantee ur personal interests.


Mwanamke haolewi Kwa Sababu ya kuwa Na mapenzi kwake. Mwanamke anaolewa Kwa Sababu ambayo haihusiani Na mapenzi kabisa.

Asilimia kubwa ya wanaume wanao lalamika kutendwa Na wake zao , waliwaoa wanawake Hao Kwa Sababu za kitoto kama tajwa hapo juu..

Wanaume wanao waua wake zao Kwa wivu wa kimapenzi nk waliwao wanawake Hao Kwa Sababu waliwapenda Sana ..


MWANAMKE ANAPASWA KUOLEWA KWA MOJAWAPO KATI YA SABABU ZIFUATAZO

Sababu zipo nyingi Sana nyingine utajaziliza mwenyewe.


1. UNAMUOA KWA SABABU UNATAKA MAKARATASI: Wewe ndio huyo upo zako Marekani, ndoto yako ni kuwa na uraia WA Marekani , njia rahisi ya wewe kutimiza ndoto zako ni kuoa mwanamke raia WA Marekani. So unaoa mwanamke wa kimarekani sio Kwa Sababu unampenda ila Kwa Sababu unataka kupata uraia wa Marekani. Hapo Sasa wewe ndio umeoa


2. WA KUKUTOLEA DHAMANA POLISI AU MAHAKAMANI

kwenu Songea umekuja dar kutafuta Maisha huna shughuli rasmi Wala huna ndugu dar, Na Kwa nature ya Kazi zako unaweza kuwa mikononi mwa vyombo vya dola at any given time so unaoa mwanamke ambae atakuwa anakuja kukutolea dhamana polisi au MAHAKAMANI in case umepata tatizo..

Huyo mwanamke utakae muoa atapaswa kuwa mkaazi wa dsm mwenye extended family yake ndani ya dsm. Ukiwa katika kundi hili Na ukawa umeoa mwanamke WA Aina hii bila Shaka utamuheshimu Sana and u can forgive even adultery Kwa Sababu wewe unacho kitaka ni MTU wa kuwa anakusaidia ku organise bail unapokuwa matatani.

Na hapo namzungumzia kijana anae fanya kazi halali kabisa ingawa sio rasmi kama vile umachinga, ufundi n.k . Ama Kwa kijana anae fanya shughuli za mission town basi ikiwezekana amtafute hata shemeji yake Na IGP


3. KWA SABABU UNATAKA MBEGU YAKE: Mfano wewe ni mfupi , unataka kupata watoto warefu , basi nenda pale South Sudan tafuta binti mrefu oa au unataka kuwa na watoto chotara basi unaoa mzungu au mwarabu.

4. WA KUKUHUDUMIA MARADHI AU UZEE : Kama alivyo fanya Mzee Mrema au Mfalme Daud ( 1 wafalme 1:4)

5. KWA SABABU UNATAKA WATOTO FULL STOP

Mwanamke ni shamba linalo tembea. Tofauti Kati ya mwanamke na shamba la babu yako analotumia kulima mbilimbi huko kijijini kwenu Isungachupi ni kwamba Hilo Shamba la babu yako halijijui kama lina exist lakini mwanamke yeye yupo conscious kwamba ana exist.

Wewe Ni mkulima mwenye jembe ( dushe) Ili uitwe mkulima bora ni lazima upate mazao Tena yaliyo Bora . So unahitaji kupata shamba Zuri lililo Na rutuba upande mbegu zako ziwe incubated for 9 months Kisha upewe zao au mazao yako.

So unapoenda kuchagua Shamba Kwa ajili ya Kupanda mbegu zako unatakiwa kuzingatia kanuni ya UDONGO NA MBEGU kanuni ya UDONGO NA MBEGU inasema kwamba ili upate mazao Bora Ni lazima upande mbegu zako kwenye ardhi nzuri.

Ukipanda mbegu zako kwenye shamba lenye ardhi nzuri utapata mazao Bora Kwa Sababu mbegu zako zitakuwa favoured Na ubora wa udongo lakini ukipanda mbegu zako kwenye udongo mbaya basi utapata mazao mabaya au hutopata mazao kabisa..

So ninacho kihitaji kutoka kwake sio heshima Wala mapenzi. Ninacho kitaka kutoka kwake ni watoto. Mkulima sihitaji shamba langu linipende Wala liniheshimu . Ninacho hitaji ni mazao Tu. Heshima akimuheshimu baba Ake inatosha. Kupenda akimpenda mama ake inatosha pia.

The only real thing that u can get back from ur woman is ur children. Other things are nothing but fake and fake only.

Sababu nyingi mno nyingine unaweza kuongezea wewe mwenyewe..


Kikubwa usioe Kwa Sababu eti umempenda mwanamke huyo
Oa Kwa Sababu tofauti na kupenda/mapenzi . Wewe ndio utakuwa umeoa Kwa Sababu ambazo ni sahihi.

Hata wanawake huwa hawaji kwenye ndoa Kwa Sababu eti anakupenda. Noope huja Kwa Sababu tofauti kabisa ambazo hazihusiani na mapenzi kama vile kufuata Mali, urahisi WA Maisha, watoto wake kusoma n.k( Joyce Kiria anasema alikubali kuolewa Na DJ Nelly Kwa Sababu hakuwaga na Kodi ya nyumba so aliamua kuolewa ili akae sehemu bila kulipa kodi










View attachment 2163737

View attachment 2163787
Inaonekana umekatia tamaa mapenzi kabisakabisa
 
Mkuu umenena eti unaoa Demu mzuri full shape, Sura na uzuri asilia unampenda kufa alafu ukifulia watu wanaanza kukuchapia utamu wako mwisho inakuwa Shida SASA.

Ndugu mm nataka niingie Uswisi Gia yakwanza nikifanikiwa kuingia naoa nieke mambo sawa Staki Ujinga [emoji2][emoji2]
Unachosahau ni kwamba, huyo mke unayeoa kisa tu unataka watoto, na hakusisimui kihivyo na hivyo hamuoneshi mahaba ya hali ya juu, kuna siku atakutana na jamaa wakapendana halafu huyo jamaa atamuonesha mapenzi yale we una yaona ujinga, hapo huyohuyo mke atakukimbia uzeeke peke yako

Ndio utajua hujui [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom