Wanaume waliofanyiwa Tohara kwa njia ya asili wananafasi kubwa ya kuwaridhisha wenza wao tofauti na wale waliofanyiwa hospitalini

Elewa hili.
silaha ya kwanza kumridhisha mwanamke ni maandalizi bora na kujenga hisia kwa wote.

nb: ili mwanamke umridhishe lazima aridhie kihisia na akupende vinginevyo utasugua na kumuumiza tu.

mwanamke akifanyiwa foreplay ya kiufundi haihitajiki nguvu kubwa kumliza kwa raha(kumfikisha).

hayo mafundo wala hayana la maana.
 
Sidhani kama hoja hii inauhalisia ila ninachoweza kushauri ni kuepuka kutahiri mtoto akiwa bado mdogo sana, mara nyingi hufanya uume kudumaa na kuwa na ukubwa usioridhisha.

Mtoto atahiriwe akiwa na umri kati ya miaka 13-16 wakati akiwa anaelekea kuanza kubalehe. Vijana wengi wa sikuhizi wanatahiriwa wakiwa wadogo sana ndiomaana shida za kimaumbile zimekuwa nyingi mno.
 
Ni kweli mkuu, sijawahi kukutana mwanamke na asifike kileleni kumbe sababu ni hiyo, asante
 
Ni tamaa zako ndyo zinakutuma hapo pamoja na ulivyojitune ila uhalisia ni kwamba maandalizi mema Kwa mwanamke pamoja na hisia zake Kwa mkunaji zitasaidia kumfikisha peak.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

NAKAZIA [emoji23][emoji23][emoji23]
Wapewe maua yao akiwepo na mzee wa chugastan CW [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
 
NAKAZIA [emoji23][emoji23][emoji23]
Wape we maua yao akiwepo na mzee wa chugastan CW [emoji2222][emoji2222][emoji2222]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ushafikaa hapaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…