😂😂😂Humu hakuna umatured Wala Nini ni kufurahi tu Kila mtu na character yake userious sometimes haujitajik Kila mahali hongera Kwa kupata mbususu kimasihara 😂😂msakizie na mzabzab hata mbiliUnaachaje kufa kwa mfano!!!
Najisikia raha sana kuwa chizi, it gives me a lot of possibilities and opportunities... hapa tu nimeshapataa macrush zaidi ya kumii natarajia kunyanduana nao kimaskharaa.
Kwa hali hiii nianze kujifanya niko MATURED ati naandika points sijuiiii niniii THUBUTUUUUUUUUUU
Eeeeh asee,Kuna Id yangu ilikuwa inaitwa Lora aisee nilikuwa natumiwa sana vocha halafu enzi za Jakaya vocha ya 10 k Mtu alikuwa hawazi na ule ushamba wa mitandao ilikuwa noma mnoo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Kabisaa humu ukijifanya mature unakufwaa na kila id utagombana nayo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tuendelee kula raha wizo na kuwakera wenye stress mpk waombe poh!!!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Humu hakuna umatured Wala Nini ni kufurahi tu Kila mtu na character yake userious sometimes haujitajik Kila mahali hongera Kwa kupata mbususu kimasihara [emoji23][emoji23]msakizie na mzabzab hata mbili
Unaachaje kufa kwa mfano!!!
Najisikia raha sana kuwa chizi, it gives me a lot of possibilities and opportunities... hapa tu nimeshapataa macrush zaidi ya kumii natarajia kunyanduana nao kimaskharaa.
Kwa hali hiii nianze kujifanya niko MATURED ati naandika points sijuiiii niniii THUBUTUUUUUUUUUU
😂😂😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo tena si ndo mwalimu wangu kwenye utafunaji wa mbususu.... mimi kwake ni kinda sana. [emoji85][emoji85][emoji85][emoji85]
Afu ana kichwa kidogoGentamycine anaonekana atakuwa mweusi, mfupi, anakitambi kikubwa. Mnene anajipenda sana. Anapenda kuonekana kwenye kundi la watu. Mbishi hapendi kuambiwa kitu amekosea. Akiwa na demu wake ana wivu sana.
Yumooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo tena si ndo nambari one [emoji85][emoji85][emoji85][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wizo na bro angu yupo?!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mwendo ni ule ulee wizo, mambo ya kufokeana na watu inahusuuuu!!!!
Lazima ucheke tuuu hata kama una mahasira [emoji23][emoji23][emoji23]
Mpenda ubuyu😂😂Haihusu wizo wapambane na hali zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hebu nipe umbea bas wizo wa hao macrush mnaoenda kulana kimasihara jooomoniiiiiii
Yumooooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Huyo tena si ndo nambari one [emoji85][emoji85][emoji85]
Mpenda ubuyu[emoji23][emoji23]
Enjoy mwaya 😀😀Wacha kabisaaaa hapa nawashwaa niko wangu wangu nausubiri niumumunye [emoji39][emoji39]
Enjoy mwaya [emoji3][emoji3]
GemtaMmoja huyu apo
View attachment 2670178
Deep
una pointi hapaKipindi hicho mimi nilikuwa najifanya niko MATURED basi nikawa naandika points tu jamiiforums, nanukuu vifungu vya biblia na kuchati kwa staha.
Baadaye nikagundua kumbe nina FAKE MATURITY halafu pia UJINGA NI MTAMU.
Hakuna kitu kinalipa kama kuwa MJINGAAA, ni raha ya ajabuuuuu.
Achana na matusi kuna siku nilikuwa Zanzibar sasa kuna member humu alikuwa ni kada wa chama tawala halafu ni mtu mzito sasa siku hiyo nikam PM akaniambia sawa tuonane Serena Hotel Zanzibar na akanitumia na namba yake ya simu. Jioni yake nikampigia Simu ikapokelewa ni Bodigadi wake halafu ndio nimefika reception pale Hotel, kumbe yule Member alikuwa ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala kwenye kampuni ya gesi na mafuta huko Arabuni. Na pale Serena Hotel alikuwa na kikao na mmoja ya viongozi wa SMZ nilipochungulia ile sehemu aliokaa kuna mabodigadi wanne wamevaa suti. Aisee niliingia ubaridi na ukizingatia humu nilikuwa namjibu kejeli na maneno yasiyo na busara. Mbona nilitaka kukimbia pale Hotel siku ile 🤣🤣🤣🤣Naona ulikuwa unaoga matusi kutoka Kwa makada😂😂