Maturity πBora umeacha
ππππHatari sana mkaongea mkayamaliza? ππAchana na matusi kuna siku nilikuwa Zanzibar sasa kuna member humu alikuwa ni kada wa chama tawala halafu ni mtu mzito sasa siku hiyo nikam PM akaniambia sawa tuonane Serena Hotel Zanzibar na akanitumia na namba yake ya simu. Jioni yake nikampigia Simu ikapokelewa na Bodigadi wake halafu ndio nimefika reception pale Hotel, kumbe yule Member alikuwa na Mkurugenzi wa Fedha na Utawala kwenye kampuni ya gesi na mafuta huko Arabuni. Na pale Serena Hotel alikuwa na kikao na mmoja ya viongozi wa SMZ nilipochungulia ile sehemu aliokaa kuna mabodigadi wanne wamevaa suti. Aisee niliingia ubaridi na ukizingatia humu nilikuwa namjibu kejeli na maneno yasiyo na busara. Mbona nilitaka kukimbia pale Hotel siku ile π€£π€£π€£π€£
Nyie siwaweziπππlisije likawa zito nikalazwaVipi akinipa na wewe nikupasie [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nikamsalimia vizuri tu. Akaniambia yupo Saudi Arabia kwenye kampuni inaitwa Gulf Petroleum kitu kama hicho. Akaniambia nilidhani utakuwa ni mtu mzima kumbe Kijana mdogo tu. πππ I was below 25 yrs π€£π€£π€£ππππHatari sana mkaongea mkayamaliza? ππ
Ewe Mwenyezi Mungu uliyenifanya kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na kunipa huu Utajiri mkubwa wa Shani ( Tunu ) naomba geuza hizi Kashfa zote na Matusi yote dhidi yangu kuwa BARAKA zaidi Kwangu huku ukiendelea Kuwalaani na Kuwaadhibu pakubwa Wapumbavu na Waswahili wanaonichukia kwa Kunichagua GENTAMYCINE kuwa juu yao Kiakili na Kiuwezo wa Uwasilishaji wa Kimvuto.Kuwa makini na GENTAMYCINE Bahat ukutane nae akiwa amemeza vidonge vyake vya kutuliza akili kutokea Mirembe(Hospital ya Vichaa) Tofaut na Hapo The Rest is History,
Enewei ukimaliza Kutana na Malaika wa Misukosuko
Achana na matusi kuna siku nilikuwa Zanzibar sasa kuna member humu alikuwa ni kada wa chama tawala halafu ni mtu mzito sasa siku hiyo nikam PM akaniambia sawa tuonane Serena Hotel Zanzibar na akanitumia na namba yake ya simu. Jioni yake nikampigia Simu ikapokelewa ni Bodigadi wake halafu ndio nimefika reception pale Hotel, kumbe yule Member alikuwa ni Mkurugenzi wa Fedha na Utawala kwenye kampuni ya gesi na mafuta huko Arabuni. Na pale Serena Hotel alikuwa na kikao na mmoja ya viongozi wa SMZ nilipochungulia ile sehemu aliokaa kuna mabodigadi wanne wamevaa suti. Aisee niliingia ubaridi na ukizingatia humu nilikuwa namjibu kejeli na maneno yasiyo na busara. Mbona nilitaka kukimbia pale Hotel siku ile [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Daah πππHebu kwanza wewe ke/me?!! [emoji1787][emoji1787]
Hiyo 0km Discovery 4 alikuwa anaipark pale kwake nje Masaki karibu na Petro Brasil halafu anaruka na ungo kwenda zake kilingeni Msata enzi zile. Na ile Range yake ya Burgundy mi nilimkuta nayo Msata kipindi fulani nilikuwa na ishu.Kweli asee najua ana discovery 4 noma sana ππππ, mganga tajiri huyo waganga wengine wanashindaga tu kwenye vijumba vya udongo πππ
Nyie siwawezi[emoji23][emoji23][emoji23]lisije likawa zito nikalazwa
Hivi Tanzania hakuna Kazi ya maana mpaka iwe ni huko TISS ambako wengi mnakutetemekea na pengine hata mpo tayari Kubanduliwa au Kufukuliwa Mauvungu yenu ili muajiriwe?Kuna watu wanasema wewe ni TISS kama kaka yangu uchwara GENTAMYCINE a.k.a CUZO
Hivi Tanzania hakuna Kazi ya maana mpaka iwe ni huko TISS ambako wengi mnakutetemekea na pengine hata mpo tayari Kubanduliwa au Kufukuliwa Mauvungu yenu ili muajiriwe?
Wanakera. TISS.....TISS.... utadhani ni Kazi / Ajira ya maana sana. Kuna Watu ni Fools mno hapa.Hapo chacha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji2222][emoji2222]
Wanakera. TISS.....TISS.... utadhani ni Kazi / Ajira ya maana sana. Kuna Watu ni Fools mno hapa.
Cc. popoma
Nimekuja... ehe niambie[emoji23]Kabisaa ankoli waambie hao.
Wizo BICHWA KOMWEE njoo unaitwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
β β β βWanakera. TISS.....TISS.... utadhani ni Kazi / Ajira ya maana sana. Kuna Watu ni Fools mno hapa.
Umetisha sana, MkuuEwe Mwenyezi Mungu uliyenifanya kuwa Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer na kunipa huu Utajiri mkubwa wa Shani ( Tunu ) naomba geuza hizi Kashfa zote na Matusi yote dhidi yangu kuwa BARAKA zaidi Kwangu huku ukiendelea Kuwalaani na Kuwaadhibu pakubwa Wapumbavu na Waswahili wanaonichukia kwa Kunichagua GENTAMYCINE kuwa juu yao Kiakili na Kiuwezo wa Uwasilishaji wa Kimvuto.
AMINA.
Nimekuja... ehe niambie[emoji23]
Na huyo bro wako ni mimi[emoji23]Acha kiherehere [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mimi namuita wizo angu, kipenzi cha bro wewe tulia