Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face




Profile picha zinakupoteza
 
Itakuwa alipigwa tukio kubwa sana. Akabadili mtazamo wa mambo alivyokuwa akiyachukulia
 
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Me nasubiri tu mzee mweusi mwenye kitambi chake aje online
Me naetamani kumuona ni mzabzab nione anayoyaandika yanafanana na yeye au ni nini
Vitu viwili tofauti kabisa..mie by nature ni mpole, indoors type of guy na ata hizo mbususu sijui zinafananaje🀣🀣🀣🀣.
Ila uwongo mbaya mie kweli nina kibamia
 
Vitu viwili tofauti kabisa..mie by nature ni mpole, indoors type of guy na ata hizo mbususu sijui zinafananaje🀣🀣🀣🀣.
Ila uwongo mbaya mie kweli nina kibamia
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
Wewe si ulisema unataka au ninyamaze maana ni aibu kusema unayoandikaga huko duniani
Hongera na pole kua na kibamia
 
Mimi hapa no 1
 
[emoji120][emoji120][emoji120]
Unauza?
Sh ngapi,..
Pia shida si picha maana naujua muonekano wake ni mweusi na urefu wa wastani.

Nahitaji kubadilishana nae mawazo,nina ya kujifunza kupitia yeye.
Unaweza kum follow na pia anashindaga uzi wa vituko mtandaoni jf kamcheki kule

Picha ya uso wake nauza 10k sema ndiyo tuzame pm chap unitumie hela πŸ˜…πŸ˜…

Oy Shimba ya Buyenze mdogo wako Mshana Jr anahitajika huku mkuu, mshtue aje chap 😁😁😁
 
Kumbe ana ndugu zake hapa,..
Ndio wewe na huyo Shimba ya Buyenze basi mfikishieni salamu kaka yenu.,mwambieni silali siamki.

Picha yake sihitaji nataka nipige nae story za ana kwa ana.,anajua mambo mengi sana.

Hivi kumbe pm kuna miamala hufanywa huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…