Wanaume walioko humu ambao ningependa kuonana nao face to face

Atakuwa ni nani kati yao?
 
Evolution ......
 
Don't believe anything in the internet niliwahi sikia yupo tcra kwenye branch kubwa kubwa tu
Mwanaume unashobokea wanaume wenzio... Heeeeh.... Hatari siku hizi bora tu uzae mtoto wa kike. Yaani una taarifa za wanaume wenzio na unasema kabisa NILIWAHI SIKIA..... mweeeeeeh.... We huna malinda. Huna kabisa. Usibishe. Hiyo sauti ya kike..... Looooooh.
 
Polee rafiki

vipi bado unatafuta wanaume wenye magari wakutongoza,

Nishakuambia hawajiuzi hivyo mbona umechachuka hivyo au una njaa pole rafiki,

Wenzako walikuja hivyo tukawaumbua mchana kweupe na ban juuuu,

Omba notes upewe utakuja kuanzishiwa thtead ya udangaji, nakuonea huruma sana

Na avatar yako ya ku download ushachakazwa mtaani umekosa soko, instagram, facebook na snapchat umeamua kuja humu pole yako

Tena ukute unatumia id ya kike utafokolewa nyuma uhongwe ice-cream za bakhresa hawa dangi hivyo humu


Omba notes upewe 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣, polee
 
We nawe kwa kupenda kutaka waambukiza wanaume magonjwa.... Yaani unajaza picha za wanaume tu ukiwatamani..... Hao sijui kama wanatumia hayo mauchafu yako. Hujisikii aibu kutamba una picha za wanaume? Khaaaaaah..... Mfyu.....
 
Unaumia sana kaka shoga.
Hawajiuzi hivyo, utaumbuliwa humu nimekaa πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰πŸ‘‰ Nakucheka kaa ngedere πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ¦›πŸ¦›πŸ¦›πŸ¦›
 
Dah,..
Umenifanya nitabasamu.
Kumbe kuna mengi humu..,kwahiyo mtu akifanyiwa hayo uliyotaja anakuja kukusimulia?
Au wewe ndiye mfanyaji?

Unaniwazisha ujue,[emoji848]
Hujui? Huyo ni shoga.... We msome tu kwenye huu uzi . Utamwona. Na mpaka anakwambia ana picha zao hao watajwa..... Hatari humu.... Si salama kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…