Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.

Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.

Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
 
Kama ambavyo sio wanawake wote ni malaya, basi sio kila mwanaume ameishi na malaya na kuona kila mwanamke ni malaya, wengine tunawaheshimu/kujiheshimu.. Stop Generalization fallacy!
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.
Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.
Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
Tatizo unapigwa tukio na mwanaume mmoja halafu unahukumu wanaume wote dunia nzima
 
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.

Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.

Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
Nyie huo upendo wa kweli mnao

Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
 
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.

Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.

Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
Mkuu huu mwaka ni wako mpaka unaboa huyo jamaa kakuumiza Sana pole[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent from my Infinix X609 using JamiiForums mobile app
 
Kuna Vita kubwa inanukia hapa
 

Attachments

  • 20220531_214454.jpg
    20220531_214454.jpg
    23 KB · Views: 21
  • 20220521_101308.jpg
    20220521_101308.jpg
    35.7 KB · Views: 19
  • 20220520_064419.jpg
    20220520_064419.jpg
    37.5 KB · Views: 18
  • 20220512_065345.jpg
    20220512_065345.jpg
    16.5 KB · Views: 16
Kama ambavyo sio wanawake wote ni malaya, basi sio kila mwanaume ameishi na malaya na kuona kila mwanamke ni malaya, wengine tunawaheshimu/kujiheshimu.. Stop Generalization fallacy!

Tatizo unapigwa tukio na mwanaume mmoja halafu unahukumu wanaume wote dunia nzima
Sijapigwa tukio jua kwa sasa sipo single
 
Back
Top Bottom