Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.

Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.

Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
Ohhh.. malaya ni mtu wa namna gani?
 
U
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.

Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.

Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
pendo wa kweli bila kukukaza ??? 🤣🤣🤣
 
Unaweza nitafuta bidada. Pole. Napatikana huku nani hii karibu na hapa kwa nani hii huyu
 
Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya.

Sio wote ni malaya kuna watu hawajikombi kombi au kuvua chupi ovyoo kwa wanaume.

Watu wanataka kuishi nawatu wenye malengo,kujituma,kujiongezs na wenye heshima na upendo wa kweli
Kwanza Futa kauli hakuna mwanamke Malaya Duniani...Hata Yule anayejiuza ukikata nae karibu Utajua sababu Gani imekuwa Hivyo...

Usirudie kuandika huu Utumbo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kwanza Futa kauli hakuna mwanamke Malaya Duniani...Hata Yule anayejiuza ukikata nae karibu Utajua sababu Gani imekuwa Hivyo...

Usirudie kuandika huu Utumbo

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Mbona nyie mnatuita malaya nilishaitwa humu malaya mara kibao na mkanidis humu leo ndio mnajua kuwa hata anayejiuza anasababu hebu msinichore mkaniweka kwenye shida utajua hujui kutwa mnaandika vibaya sio wanawake au wanaume kuhusu mie halafu leo naandika mie ndio unaona makosa weeh nikome bibie au mkakae nikomee naunisute na unitue nimemaliza
 
Back
Top Bottom