Wanaume wameishi na malaya hadi wanaona kila mwanamke ni malaya

🤣🤣
 
Ukweli unaoumiza Mahusiano yameumiza sana wengi, we need prayers kwa kweli, haya Mambo NDIO yanapelekea kwenye depression na stress zisizo na mwisho.
Ukiwaza mapenz Kwa negative way yanakutesa sana lkn ukiyawekea positive maisha ni raha tu huwez kuwa mtumwa Kwa sabbu ya maamuz ya moyo wako mwenyew
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…