Wanaume wanaoijua hii Baiolojia ya wanawake ni wachache sana

Boss kwahyo unataka kusema kuwa hizo homoni zinafanya kazi mwanamke/mdada akiwa na mwenza wake ndani tu au ikoje mbona akiwa kwingne huko anakuwa vizuri akirud ndan ndo anakuwa wa hovyo had unajiuliza namnyanyasa au vp mfano nikiwa nae nikimwambia kitu au jambo lolote anapanic akiwa na watu wengne hata wakimtania anaona kawaida tu hata akiwa anaongea na maex zake anakuwa na furaha tatizo ni akija kwangu ndo homon zinaanza kufanya kazi au????????
 
Yale yale ninayosema kila siku,without God there is no happy marriege...
 
umeongea kitu cha maana sana ambacho niliwahi kumwambia jamaa fulani akanibishia mno. viumbe hawa tunatakiwa kuishi nao kwa akili. ukishindana nao wote mnatakiwa kuwekwa sinia moja, wote ni wanawake. zamani nilikuwa simuelewi kabisa wife manake jana tulikuwa vizuriii ila kesho naona kama kavamiwa na shetani na nikimuangalia kwa makini naona kama sio yeye, ila siku tatu zikipita naona amekuwa kawaida.
 
ACHA UONGO WEWE, MUNGU ANAKUONA!
 
Waacheni wakae kivyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…