Itakua ana sura ya babakeKama angekosa hilo hata kumtongoza nisingejaribu
😂😂😂vyakugaragara
Nipe number tusolve hilo tatizo dogoKama kuna mtu anataka tuwe marafiki wa kweli wa kufa na kuzikana naomba nimpe namba ya mama watoto ampigie kisha ajifanye askari na amuambie kua nimekamatwa tangu jana na nitatolewa kesho mchana.
😂😂Nyie jmnNipe number tusolve hilo tatizo dogo
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Kama kuna mtu anataka tuwe marafiki wa kweli wa kufa na kuzikana naomba nimpe namba ya mama watoto ampigie kisha ajifanye askari na amuambie kua nimekamatwa tangu jana na nitatolewa kesho mchana.
Kwa nini siyo poa?? Nature inawafavor,Mila na tamaduni zina wafavor, vitabu vya dini vinawafavor( agano la kale kwa biblia)... haya bado haitoshi mama kawaruhusu kwa vipande wakati yeye ni mwanamke?
Umechelewa kuna id mpya sijawahi hata kuiona ndiyo imechangamkia tenda.Nipe number tusolve hilo tatizo dogo
Llidie naomba kuwa your friend kuna mtu ananifananisha mimi na wewe😂😂😂vyakugaragara
Hahaha Nani huyo anatufananishaLlidie naomba kuwa your friend kuna mtu ananifananisha mimi na wewe
A special famous somebody humuHahaha Nani huyo anatufananisha
Aiseee msalmie huyo mfananishaji
Vipi tena😂😂Nyie jmn