Wanaume warefu watamu sana

Nyie mnaosema warefu wazuri tusingewaona kwa Mwamposa mnalia lia mmataka hata vibabu viwaoe ....navyo havitakiiii
 
Sisi watu wafupi(kutokana na maumbile yetu) mioyo yetu iko karibu sana na uliko mfuko wa mavi Sasa lile joto la pale linasababisha Moyo Unakua juu juu na hivyo tunakua na hasira muda wote mkuu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

You're so crazy
 
Sisi watu wafupi(kutokana na maumbile yetu) mioyo yetu iko karibu sana na uliko mfuko wa mavi Sasa lile joto la pale linasababisha Moyo Unakua juu juu na hivyo tunakua na hasira muda wote mkuu.
Hahaha kwani mkuu una urefu wa foot ngapi?
 

Sisi wakina palanjo tufanyaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…