masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
- Thread starter
-
- #21
Upo sahihiUliyoongea ni kweli kabisa, ila kila kitu kwa kiasi, hata kutamani ufanye kwa kiasi, kutamani sio dhambi kwa sababu ni hisia tulioumbiwa nayo, tungekuwa hatutamani tusingekuwa tunajituma wala kuoa, mm nina "matamanio" ya kuishi maisha ya kiwango flani ndo maana nipo napambana, nikikutana na mdada mzuri mwenye tabia nzuri, mwanzoni kabla hatuja fahamiana lazima "nimtamani" kwanza kabla ya kum-approach.
Matamanio ndio yanayomfanya mtu anyanyuke afanye jambo fulani, ila ukizidisha matamanio ndo shida inapokuja, ndo maana Yesu anasisitiza "tuwe na kiasi"
Kula sio ulafi, lakini kula kiasi kingi hadi wenzako wakakosa chakula ni ulafi.
Kwa hiyo tayari tushaziniJirani ni nani? Hamna mahali pameandikwa jiani ni uliyepakana nae nyumba tu.
Usitamani mali ya mtu mwingine
Na chochote kile
Kumbuka uzi unasema amelinda kiapo cha ndoa means amejizuia kimwili kucheat ila kiroho ameshamtamani..
Biblia inasema ukitamani umekwisha zini nae.
Nitajizuia mkuuN swala la mda tuu..una kilaa dalili za kuja kuchepuka...narudia tena n swala la mda utataman kukutana na mwngne .....
NB: KATAA NDOA..
mimi nimetafuta kwenye kamusi ya Tuki sijaona sehemu inayosema jirani ni mtu yoyote. Embu tutafutie wewe hiyo kamusi inayosema haya maneno😂😂Jirani ni nani? Hamna mahali pameandikwa jiani ni uliyepakana nae nyumba tu.
Usitamani mali ya mtu mwingine
Na chochote kile
Kumbuka uzi unasema amelinda kiapo cha ndoa means amejizuia kimwili kucheat ila kiroho ameshamtamani..
Biblia inasema ukitamani umekwisha zini nae.
Siwezi fanya hilo kosa maishani yaani siweziNamba ulichukua?
Machalii wa Arusha (wadudu) jikusanyeni, dada yenu amewamiss.
Me nipo kwenye biblemimi nimetafuta kwenye kamusi ya Tuki sijaona sehemu inayosema jirani ni mtu yoyote. Embu tutafutie wewe hiyo kamusi inayosema haya maneno😂😂
Wala usifiche hio Mimbakifupi niliona alinielewa
Hatua ya kwanza ya kuchepuka ni kichukua nambaNamba ulichukua?
Machalii wa Arusha (wadudu) jikusanyeni, dada yenu amewamiss.
Haya ndio mambo ya kina Christina Shusho ya kuolewa na miaka 19,anadai alikuwa bado mdogo..Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already
Mmekaa miaka mingapi mkuu?Siwezi fanya hilo kosa maishani yaani siwezi
Bado nampenda sana mume wangu.
Akizubaannakukwapuakeanimimisitamani😅😅
Mtanange hakuna ila dhambi unayo tayari!...ukitamani umekwisha zini nae.
Dada mbona kama ulikuwa na haraka yakutuambia hii habari!? Yaani ungetulia nayo ingekuwa bonge la stori ila umefanya haraka yaani baada tu ya jamaa kutokomea nawe ukachukua sim kutuhabarisha,Msichojua ndo hicho sasa
Unamuona mwanaume unamtani na kuvutiwa nae ila sasa ndo inabidi ungalie mambo mengine sasa yanayofanya jambo ilo lishindikane
Nimekutana na mkaka maeneo ya ninayofanyia mihangaiko yangu ajui kituo cha gari anakoenda ila sijajua kama kweli alikua hapajui aendapo.akaniuliza nikampeleka
Jamaa wa Arusha huyo mgeni kifupi niliona alinielewa nikawa namkatisha katisha maneno yake wakati nampwleka kumuonesha akapenda gari asichojua mimi pia nimemuelewa
So nimemuonesha akabaki kasimama ananiangalia mimi huyo nimetokomea
“Ushawahi kutana na mwanaume ukamuelewa kama ni mjamzito unatamani kuificha mimba?” Basi ndo leo
Ila mimi sio mjamzito ila ninajua kujizuia na kutetea kiapo changi cha NDOA
Hata kama utatamani nje ila unatakiwa ukumbuke ahadi uliyoitoa madhabauni na kwa mwenzako bado ndoa itakua salama
Dah wakaka wa Arusha i mis home already