Wanaume wasiowaaminifu Wana IQ ndogo ukilinganisha na waaminifu.

Wanaume wasiowaaminifu Wana IQ ndogo ukilinganisha na waaminifu.

Apa tunabishana na mfagizi wa ofisi kuhusu hii mada ameishia kusema ata uwachukue maprofesa/ wanasheria ama wahandisi uwakusanye sehemu moja utakuta kuna wenye IQ ndogo sanaa ....ukilinganisha na mambo wafanyayo

🤓🤓

Kilimo kimojawapo cha mtu mwenye akili Sana ni kiwango chake cha uaminifu.
 
Apa tunabishana na mfagizi wa ofisi kuhusu hii mada ameishia kusema ata uwachukue maprofesa/ wanasheria ama wahandisi uwakusanye sehemu moja utakuta kuna wenye IQ ndogo sanaa ....ukilinganisha na mambo wafanyayo
Elimu ya darasani inaweza Athiri iq ya mtu au kukuza iq ya mtu inategemea na jinsi alivyoipokea.
 
Kwema Wakuu!

Saikolojia na kisayansi wanaume ambao sio waaminifu wana IQ ndogo Sana ukilinganisha na wale wenye uaminifu.

Hayo sio maoni bali ni fact.
uwe muaminifu na mwenye nguvu kamili basi, sio kwasabb hajiwezi kwenye utekelezaji wa majukumu mbalimbali muhimu na ya lazima.

hiyo haikubaliki na wala sio uaminfu 🐒
 
Unasema wanaume wasiowaaminifu wana IQ ndogo? Ina maana walishindwa hata hesabu rahisi ya Mke 1 + uaminifu = amani


Wakaamua kufanya hesabu ngumu ya Mke 1 + mpango wa kando - amani ÷ ugomvi x stress!


Hapo kweli akili ni "0" kabisa.

😂
 
Back
Top Bottom