Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Sasa ni lipi kinatangulia,ni hiyo iq au uaminifu?.
IQ hutangulia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ni lipi kinatangulia,ni hiyo iq au uaminifu?.
Yaani mpka binadamu tutakapokuwa na uwezo wa kuitawala akili.. otherwise akili itaendelea kututawala
Tupe reference, ni utafiti gani wa mwaka gani?
Suala la kuwa mwaminifu ni Emotional, halihusiani na IQ.
Binadamu ni nani na akili ni nani?Yaani mpka binadamu tutakapokuwa na uwezo wa kuitawala akili.. otherwise akili itaendelea kututawala
ziweke hapa
case studies sio ushahidi, ni kuokota visa tu
Ume hemea ?? 😗ongezea nyama kidogo
Siyo kweli. Utafiti unaojadiliwa kwenye hii mada umejikita kwenye suala la mahusiano/ngono tu; na siyo huko unakotaka kuelekea.Naona wachangiaji wengi wamelenga kujadili kwenye uaminifu wa uchepukaji tu/ngono,
Kuna uaminifu wa aina nyingi,
Mfano;
Kutimiza majukumu yako ipasavyo bila kusimamiwa na mtu,kutokuiba,kua ontime unapokua na miadi na mtu,kuongoza kwa haki bila kumuonea mtu au kumpendelea mtu yeyote,na mengineyo,
So,mtu mwenye IQ kubwa hawezi kufanya hayo coz atakua anatoka kwenye misingi yake ya maisha.
Hawezi au hufanya hayo ili kuwa kwenye misingi yake?Naona wachangiaji wengi wamelenga kujadili kwenye uaminifu wa uchepukaji tu/ngono,
Kuna uaminifu wa aina nyingi,
Mfano;
Kutimiza majukumu yako ipasavyo bila kusimamiwa na mtu,kutokuiba,kua ontime unapokua na miadi na mtu,kuongoza kwa haki bila kumuonea mtu au kumpendelea mtu yeyote,na mengineyo,
So,mtu mwenye IQ kubwa hawezi kufanya hayo coz atakua anatoka kwenye misingi yake ya maisha.
Nini maana ya kuwa na IQ kubwa ikiwa multi-tasking tu inamshinda?Mtu mwenye IQ kubwa hawezikuwa na wanawake WENGI
Hata huyo Mmoja tuu anaweza kumshinda
Na maanisha hayupo kwenye hizo tabia,anaishi kwenye misingi yake.Hawezi au hufanya hayo ili kuwa kwenye misingi yake?
MhmmSpiritually, Mwanaume wasio Mwaminifu kwenye Ndoa zao Ndio walitumiwa sana na Mwenyezi Mungu.
Yamkini IQ ya Wanaume wenye michepuko ni Kubwa Mno kuliko wale Wenye Mke 1.
Nini maana ya kuwa na IQ kubwa ikiwa multi-tasking tu inamsinda?
Unaweza kuonyesha hilo ni wapi mleta mada ametaja hayo uliyoyasema wewe?Siyo kweli. Utafiti unaojadiliwa kwenye hii mada umejikita kwenye suala la mahusiano/ngono tu; na siyo huko unakotaka kuelekea.
Hata kwenye uaminifu wa kingono mtu mwenye iq anapiga hesabu kwanza za changamoto atakazo zipata baada ya kutokua mwaminifu .Na maanisha hayupo kwenye hizo tabia,anaishi kwenye misingi yake.
Lakini wanaume waaminifu ni watumwa wa ndoa na hivyo kuishi pasipo furaha ukilinganisha na wenye michepuko pamoja na wake wengi.Swali kwa mleta mada:IQ ubwa inayokufanya uishi pasipo furaha kisa akili yako wataka kuifananisha na ya mwanamke ina faida gani kwako?
Spiritually, Mwanaume wasio Mwaminifu kwenye Ndoa zao Ndio walitumiwa sana na Mwenyezi Mungu.
Yamkini IQ ya Wanaume wenye michepuko ni Kubwa Mno kuliko wale Wenye Mke 1.