Huu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali
Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana
Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza
Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao
ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu
Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao