Wanaume, watoto wako hawawezi kukugeuka ikiwa ulishiriki malezi Yao tangu mwanzo

Wanaume, watoto wako hawawezi kukugeuka ikiwa ulishiriki malezi Yao tangu mwanzo

mimi mzee hata kula nae meza moja ni kipengele.. sijui alikua na shida gani mbinafsi balaa
Haha pole sana siis tumeenjoy kweli lazima jioni tule nae
Tena mama akiwa amesafir anapanga ratiba ya kupika mm nilikuwa mpishi wa mboga
Yeye wali au ugali mdogowangu muandaaji wa vyombo
🤣🤣Ila ugali wake kula uwe Mwana mazoez unakuwa mgumu balaa🤣🤣
 
mimi mzee hata kula nae meza moja ni kipengele.. sijui alikua na shida gani mbinafsi balaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣msamehe bure Mzee wako nimecheka sana😁😁😁

Mimi mzee wangu nilivyo anza kidato chakwanza nilienda shule yambali ikanibidi nikae geto

miezi miwili alikaa namimi hadi nilipozoea mazingira akarudi nyumbani nakuniacha

alikua anatoa dongo tunakulawote asubuhi ananiamsha niwahi shule mzee wangu nimwambaaaaaaaaa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣msamehe bure Mzee wako nimecheka sana😁😁😁

Mimi mzee wangu nilivyo anza kidato chakwanza nilienda shule yambali ikanibidi nikae geto

miezi miwili alikaa namimi hadi nilipozoea mazingira akarudi nyumbani nakuniacha

alikua anatoa dongo tunakulawote asubuhi ananiamsha niwahi shule mzee wangu nimwambaaaaaaaaa
Yani huyo ndo baba Sasa
 
Huu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali

Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana

Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza

Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao

ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu

Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
 
Haya mambo hua hayana mwelekeo wa Moja Kwa moja, unaweza hangaika lakini madogo wakawa miyeyusho unaweza usihangaike na madogo wakashow love kibingwa
Ni kweli kabisa inategemea na mapenz ya mtoto pia lkn muhimu ulitimiza jukumu lako km baba
Nakumbuka Kuna msichana alikimbiaga Kwa babaake kisa tu aliambiwa asome akatoroka Kwa mamaake dar mama akakausha akampokea
Baba hakuwa na deni Wala hakutaka malipo ila alifanya alichotakiwa kufanya alitimiza majukumu yake suala la mtoto kufanya au asifanye ni sualalake binafs
So timiza tu Mungu atakubariki
 
Mimi kwa wanangu huniambii kitu kabisa
Mimi kwa mwanangu huniambii kitu kabisa.[emoji2][emoji2][emoji2]

Japo yupo 2 yrs and 5 months huwezi kumwambia kitu kuhusu Baba yake akakuelewa nikiwepo pale.

Pia naturally nawapenda watoto sana, inaweza kuchukua masaa kadhaa kuzoeana na mtu mzima ila dk 10 hadi nusu saa tayari nishazoeana na mtoto.
 
Back
Top Bottom