Wanaume, watoto wako hawawezi kukugeuka ikiwa ulishiriki malezi Yao tangu mwanzo

Wanaume, watoto wako hawawezi kukugeuka ikiwa ulishiriki malezi Yao tangu mwanzo

Huu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali

Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana

Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza

Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao

ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu

Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
Huu ndio uhalisia na tunatakiwa Kuishi
Kuwa baba ni uhalisia wa matendo Yako Kwa wanao otherwise utaambiwa ulitoa mbegu tu
Alafu
Bond ya mama na watoto ni ya asili kabisa
Yani hata ukute mama mlevi watoto wanajipikia utasikia ndio mama yetu Sasa tunafanyaje 😀
Baba awe mlevi Sasa khe 😃😃😃
 
Last weekend tar 6 jumamos, tulikua tunapiga stori za hapa na pale na madogo, nikaanza kuwasimulia namna ambavyo sisi tukiwa katika umrinkama wao zaman tulilelewa vipi.

Nikawa nawaambia namna tulivyokua tuna develop skills katika michezo yetu ya utotoni tofaut na wao.

Nikawaambia zaman sis wengi hatukua na uwezo wa kununuliwa toys za magari hivyo watoto wa kiume tulikua tuna uwezo wa kutengeneza magari yetu wenyewe kwa kutumia malighaf zinazotuzunguka na tunayaendesha kwa kuyakokota for kilometers.
Magari ya mbao
Magari ya waya
Magari ya bati/makopo.

Nikawafundisha kwa kuwaonyesha namna tulikua tunafanya kwa vitendo siwezi kuweka clip hapa but nikakusanya makopo yoote matupu ya maziwa for demonstration...

Dogo akasema "tengeneza Kirikuu kama hayo unayosema ni ya kweli" 😂

20240706_192008.jpg
20240708_084013.jpg


Wakawa very inspired.
 
Mimi kwa mwanangu huniambii kitu kabisa.[emoji2][emoji2][emoji2]

Japo yupo 2 yrs and 5 months huwezi kumwambia kitu kuhusu Baba yake akakuelewa nikiwepo pale.

Pia naturally nawapenda watoto sana, inaweza kuchukua masaa kadhaa kuzoeana na mtu mzima ila dk 10 hadi nusu saa tayari nishazoeana na mtoto.
Mimi Niko tofauti kidogo kwakweli sipo na ukaribu sana na watoto but watoto wangu nawachukulia kama roho yangu...!

Na Nina jitahidi sana watoto wangu wasiishi maisha kama niliyo ishi...!​
 
Huu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali

Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana

Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza

Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao

ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu

Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
Rudiana na mama yao
 
Umecheki DNA lakini?
Sina haja ya kucheki DNA kitanda hakizai haramu, kupiwa hakukwepeki, tulio enda jando wazee wetu walitufundisha ukirudi nyumbani toa taarifa...!

Hivyo ukilielewa Hilo somo utagundua kuwa mambo ya kuchapiana yalikuwepo tokea dhama za kale ila wenzetu walichapiana kwa kuheshimiana...!​
 
Huu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali

Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana

Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza

Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao

ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu

Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
Huu ndio uanaume sasa...! Wanaume tuuishi uanaume kwa vitendo
 
Mimi wa kwangu kwake sipakumbuki. Na hajui nafanya nini, exactly naishi wapi na nilisomaje. Mambo yangu simwambii maana huwa hayatiki, nikimwambia kitu tu lazima nifeli sijui huwa anayasema kwa wenye nia mbaya.
Kwann Sasa
 
Natumain mna afya njema
Kuna namna malezi yanakuwa magumu Kwa walezi wa kiume hasa kubadilisha fikra za watoto wao na kuthaminika Kwa watoto wao japo walijitahid kufanya hivo ila hawakuzngatia code

Kiukweli mm ni miongoni mwa watu ambao huwezi kuniambia chochote kibaya kuhus babaangu nikakuelewa Kwa sabbu nimekuwa katika hali ambayo namuona akiwa anahangaika kwaajili ya yangu na familia yetu

Ngoja niwape mambo hapa machache

Kwanza jitahidini kuwa karibu na watoto wenu wawaone mnashiriki kikamilifu kwenye ukuaji wao kuanzia kiimani na kiakili baba jitahid kuwa rafiki Kwa mtoto kwenye nyakati zote

Watoto wakiwa wadogo hujifunza sana Kwa kuona kilakitu kutoka Kwa wazazi
Akikua akiwa hakuoni na uko hai ni mbaya hata kwenye ukuaji hawezi kuelewa hata kama ulipambana huko nyuma ya pazia onyesh upendo wa wazi nae ataishi hivo hivo ukubwani

Kuna kutofautiana Kwa wale ambao wako mbali na watoto acha kumtumia mama kufikisha ujumbe Kwa mwanao Kila mara labda kama ni mdogosana
hakikisha unawasliana na anakuwa uhuru kusema kinachomsumbua aone wewe ndio babayake halisi hata uwe umbali mara elf 5 inaongeza upendo Kwa mtoto

Shiriki matukio ya furaha na wanao tenga muda wa kuwa nao pamoja hata mara chache kuongea nao na kufurahi

KWANGU

Kila kitu kilikuwa wazi tunajua nani ni kichwa Cha familia,akosi chochote Cha kishiriki na watoto kama ana nafas atakuita hata mbrash viatu vyake
bond Ilikuwa Bora sana

Hakutaka kumtumia mama aseme chochote Zaid tulikuwa tunawasiliana moja kw moja hafanyi chochote Hadi neno litoke kwangu direct na atanipa majibu mwenyew pia

Hakuna anaweza kuniyumbisha kuhus kumpenda Wala siwez mkubaliana mtu akisema alikuwa mbaya hata mama siwez muelewa
Jitahid kuwa karibu na kishiriki malezi acheni kuona nyie sio wahusika kwenye kuwajenga watoto wenu

Nimeongezea na kavideo hapo chiniView attachment 3038392
Changamoto ni watoto wetu wa michepuko hasa wakiwa wavulana. Anataka uishi Nyumba moja na mama yake. Bila hivyo hata ufanye nini, haoni kitu. Mama yake anakuwa anamtumia kama chambo!

Jambo la msingi ni kutimiza wajibu wako kama baba, mengine mbele ya safari. Ila ukumbuke watoto si wa kutegemea uzeeni, akikupa shukuru, akikunyima pambana na hali yako. Nasema hii inaapply kwa multi party, siyo mume aliyezaa na kuishi na mke mmoja!
 
Uko sahihi kabisa, malezi ya watoto sio kutoa pesa tu. Wanaume tumekuwa watu wa kutoa pesa tu, watoto hawajui malezi yetu physically, hatujihusishi moja kwa moja.
 
Changamoto ni watoto wetu wa michepuko hasa wakiwa wavulana. Anataka uishi Nyumba moja na mama yake. Bila hivyo hata ufanye nini, haoni kitu. Mama yake anakuwa anamtumia kama chambo!

Jambo la msingi ni kutimiza wajibu wako kama baba, mengine mbele ya safari. Ila ukumbuke watoto si wa kutegemea uzeeni, akikupa shukuru, akikunyima pambana na hali yako. Nasema hii inaapply kwa multi party, siyo mume aliyezaa na kuishi na mke mmoja!
Iyo ni ngumu kweli aisee
Kunawakat wamama wanapandikiza chuki Kwa watoto au kuwafanya kitega uchumi kupata wanachotak hapa ni kusimsma tu

Ongea na mwanao mara Kwa mara Mpe anachotaka bila kupitia nyuma ya mtu
Msaidie kiakili pia kumpa nasahau mara Kwa mara ajijue yeye ni nani na aweze kujisimamia
 
Back
Top Bottom