Ivan Stepanov
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 6,799
- 22,209
Ni kwel hayanaga muongozo ila kikubwa do your part basiii mengine yatajijua yenyeweHaya mambo hua hayana mwelekeo wa Moja Kwa moja, unaweza hangaika lakini madogo wakawa miyeyusho unaweza usihangaike na madogo wakashow love kibingwa
Huu ndio uhalisia na tunatakiwa KuishiHuu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali
Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana
Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza
Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao
ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu
Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
Mimi kwa mwanangu huniambii kitu kabisa.[emoji2][emoji2][emoji2]
Japo yupo 2 yrs and 5 months huwezi kumwambia kitu kuhusu Baba yake akakuelewa nikiwepo pale.
Pia naturally nawapenda watoto sana, inaweza kuchukua masaa kadhaa kuzoeana na mtu mzima ila dk 10 hadi nusu saa tayari nishazoeana na mtoto.
Ni kheri wewe utapata Dua njema kutoka Kwa wanao
Alikuwa nyampara...au alikuwa mjeda nini...?mimi mzee hata kula nae meza moja ni kipengele.. sijui alikua na shida gani mbinafsi balaa
Huyo ni baba angu kabisa...!Mimi wa kwangu kwake sipakumbuki. Na hajui nafanya nini, exactly naishi wapi na nilisomaje. Mambo yangu simwambii maana huwa hayatiki, nikimwambia kitu tu lazima nifeli sijui huwa anayasema kwa wenye nia mbaya.
Rudiana na mama yaoHuu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali
Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana
Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza
Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao
ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu
Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
Umecheki DNA lakini?
Huu ndio uanaume sasa...! Wanaume tuuishi uanaume kwa vitendoHuu uzi umenigusa sana,,,niliishi na wanangu miaka saba kabla ya kutengana na mama yao,,miaka minne now tunaonana vipindi kwa vipindi na sikuwahi kudhan nitakuja kuishi na wanangu wawili mbali mbali
Kubwa nashukuru kazi zangu katika miaka mitatu ya mwisho ya utengano na mama yao nilikuwa mkoani so nilikuwa nakuja mwisho wa mwezi nakaa nao siku nne kisha namsha ,kwahiyo hata ndoa ilivyokufa hawakuathirika sana kwakuwa walishazoea kutokuwepo nyumbani sana
Ila huwa tunaongea kwenye simu na nashukuru mungu niliwazoesha kuwaambia nawapenda kila ninapoongea nao basi mpaka raha,mwisho wa maongezi yetu ni love you dady,miss you dah inapendeza
Hasa wa kike ndio dady utakuja lini basi nampa sound tu ntakuja hivi karibuni si unajua mabinti na baba zao
ILa nashukuru mama yao huwapa simu waseme wenyewe wanataka nini,labda kuhusu ada ndio wakubwa wenyewe tunaongea lkn sijui study tour wanaongea nami direct,,nawapenda sana,na hakuna atakaye simama kati yao dhidi yangu
Hata kama upo mbali waonyeshe upendo wanao
Changamoto ni watoto wetu wa michepuko hasa wakiwa wavulana. Anataka uishi Nyumba moja na mama yake. Bila hivyo hata ufanye nini, haoni kitu. Mama yake anakuwa anamtumia kama chambo!Natumain mna afya njema
Kuna namna malezi yanakuwa magumu Kwa walezi wa kiume hasa kubadilisha fikra za watoto wao na kuthaminika Kwa watoto wao japo walijitahid kufanya hivo ila hawakuzngatia code
Kiukweli mm ni miongoni mwa watu ambao huwezi kuniambia chochote kibaya kuhus babaangu nikakuelewa Kwa sabbu nimekuwa katika hali ambayo namuona akiwa anahangaika kwaajili ya yangu na familia yetu
Ngoja niwape mambo hapa machache
Kwanza jitahidini kuwa karibu na watoto wenu wawaone mnashiriki kikamilifu kwenye ukuaji wao kuanzia kiimani na kiakili baba jitahid kuwa rafiki Kwa mtoto kwenye nyakati zote
Watoto wakiwa wadogo hujifunza sana Kwa kuona kilakitu kutoka Kwa wazazi
Akikua akiwa hakuoni na uko hai ni mbaya hata kwenye ukuaji hawezi kuelewa hata kama ulipambana huko nyuma ya pazia onyesh upendo wa wazi nae ataishi hivo hivo ukubwani
Kuna kutofautiana Kwa wale ambao wako mbali na watoto acha kumtumia mama kufikisha ujumbe Kwa mwanao Kila mara labda kama ni mdogosana
hakikisha unawasliana na anakuwa uhuru kusema kinachomsumbua aone wewe ndio babayake halisi hata uwe umbali mara elf 5 inaongeza upendo Kwa mtoto
Shiriki matukio ya furaha na wanao tenga muda wa kuwa nao pamoja hata mara chache kuongea nao na kufurahi
KWANGU
Kila kitu kilikuwa wazi tunajua nani ni kichwa Cha familia,akosi chochote Cha kishiriki na watoto kama ana nafas atakuita hata mbrash viatu vyake
bond Ilikuwa Bora sana
Hakutaka kumtumia mama aseme chochote Zaid tulikuwa tunawasiliana moja kw moja hafanyi chochote Hadi neno litoke kwangu direct na atanipa majibu mwenyew pia
Hakuna anaweza kuniyumbisha kuhus kumpenda Wala siwez mkubaliana mtu akisema alikuwa mbaya hata mama siwez muelewa
Jitahid kuwa karibu na kishiriki malezi acheni kuona nyie sio wahusika kwenye kuwajenga watoto wenu
Nimeongezea na kavideo hapo chiniView attachment 3038392
Iyo ni ngumu kweli aiseeChangamoto ni watoto wetu wa michepuko hasa wakiwa wavulana. Anataka uishi Nyumba moja na mama yake. Bila hivyo hata ufanye nini, haoni kitu. Mama yake anakuwa anamtumia kama chambo!
Jambo la msingi ni kutimiza wajibu wako kama baba, mengine mbele ya safari. Ila ukumbuke watoto si wa kutegemea uzeeni, akikupa shukuru, akikunyima pambana na hali yako. Nasema hii inaapply kwa multi party, siyo mume aliyezaa na kuishi na mke mmoja!