Wanaume, watoto wako hawawezi kukugeuka ikiwa ulishiriki malezi Yao tangu mwanzo

Sawa sawa mkuu. Inaonekana wewe hauna uchoyo kabisa, embu tupia namba ya shemeji uko pm basi nimsalimie.
 
Ooh imekaa poa sana hii
Nafikiri uliona surazao na namna walivokuwa na furaha sio kitu kikubwa Wala hakikuhitaji pesa lakini walifurahia
Izo kumbukumbu Huwa hazifutiki maisha yote km mm Nimempoteza baba miak 15 imepita sijawah kusahau matukio yote tangu nikiwa na mdogo
 
Pia wamama waache kuwapa sumu au maneno mabaya watoto kuhusu baba zao, hii pia huchangia watoto kuwachukia au kuwatenga Baba zao waliopo mbali nao.
 
Mtoto wa 22 years si rahisi kumbadilisha ingawa mtu umemsomesha Feza. Jambo la msingi ni kujidhatiti na maisha ili mfuko usiteteleke hata kukosa pesa ya kuchimba kaburi lako. Kikubwa akihitaji msaada unampa bila ubaguzi.

Kosa letu ni moja tu, usimwache mwanamke bali yeye akuache. Akikuacha hapo utaishi raha mstarehe ila asione umeadvance. Ukimwacha akiwa bado anakupenda. Shida hata kaburi lako analitandika fimbo.
 
Pia wamama waache kuwapa sumu au maneno mabaya watoto kuhusu baba zao, hii pia huchangia watoto kuwachukia au kuwatenga Baba zao waliopo mbali nao.
Exactly ndio hata hiyo clip wamezungumzia sumu zinakuja ukiwa unapmbna sana lkn huonyeshi kuwa upo
Ukiwepo bas uwepo wakuone wanao,
unaweza toa buku mama akaenda kumpa miatano alafu akasema nimetoa hii mwanangu katumie kumbe Haina uhalisia 😀😀
 
Haina formula hii ushiriki usishiriki ni bahati tu.
Muhimu ni ujipange ujitegemee uzeeni
Kabisa japo unaweza ukawa na Mali nyingi uzeeni ukakosa wa kukushika Kwa upendo kukutoa kuota jua
Lkn sio wote tutafika uzee Kuna tu zile Dua
Baba ulale pema peponi malaika wakuzunguke inatosha pia
 
Sahihi kabisa, mtoto anaweza kudhani Baba yake hampendi kumbe Mama ndio sababu
 
Kwanza jitahidini kuwa karibu na watoto wenu wawaone mnashiriki kikamilifu kwenye ukuaji wao kuanzia kiimani na kiakili baba jitahid kuwa rafiki Kwa mtoto kwenye nyakati zote
Juzi tu hapo kuna binti kaolewa kalelewa na Baba wa kambo miaka 25 siku ya harusi anamtambua Baba yake kwa furaha na mikogo na kumsahau Baba yake wa kambo ambae amemlea miaka 25 yote, kwa hio tusiishi kwa kukariri
 
Juzi tu hapo kuna binti kaolewa kalelewa na Baba wa kambo miaka 25 siku ya harusi anamtambua Baba yake kwa furaha na mikogo na kumsahau Baba yake wa kambo ambae amemlea miaka 25 yote, kwa hio tusiishi kwa kukariri
Hapo director ni mama hakuna mwingine
 
Ahahahah...mimi madogo kiukwel kuna time nakula nao sahani 1 msosi huwa namwambia wife weka huo ugali kwenye sinia and we have a communion tumekaa chini woote. Wako wa 3 wa kike na 1 wa kiume
Watoto wako wamepata baba😉
 
Pia wamama wanakuwa na chuki ambazo chanzo ni hisia za kimapenzi kwa maana ya wivu, wanasahau watoto hawapaswi kuhusishwa na hisia za mama juu ya Baba yao.
Ipo chuki ya asili kati ya mwanamke dhidi ya mwanaume sababu ya nguvu ya Lilith inayowavaa wanawake wengi.
 
Sawa
 
Moja; usiongee neno haiwezekani...
Mbili: Kukugeuka ni nini ? Huenda kuna watu wanataka vitu zaidi sababu tu by proxy fulani ni baba yake.., kwahio kama alifanya wajibu wake hata kuhakikisha tu unapata chakula and roof over your head without extras kama una kitu between your ears inabidi ushukuru (mfano huwezi kusema mama yangu alikuwa mkali na hanipendi wakati angeweza kutoa mimba au kukutupa ukiwa mdogo na hakufanya hivyo)
Tatu: damu nzito kuliko maji binafsi hata kama mzazi alikuwa mkali na mtukutu lakini bado tampa nafasi ya mzazi haijalishi sababu hakunipa extras au angeweza kunipa extra na hakufanya hivyo...

Mwisho kabisa nakuacha na hii story ya jinsi mtoto alivyomzira baba yake sababu kwenye birthday yake alimpa zawadi ya bible na sio Ferrari (might be a made up story lakini ni plausible)

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…