Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

Poker

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2016
Posts
5,445
Reaction score
14,828
Wanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko Marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo.

Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji ila hazikuwa za kujitoa muhanga wala kujilipua. Baadae maafisa wa usalama walifika nakuwachukua kwa upelelezi zaidi ila ikabainika sio magaidi, na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!

20220809_115044.jpg
Screenshot_20220809-151006.jpg
 
Movie za Hollywood zinaonyeshaga waarabu wakiongea wenyewe kwa wenyewe kwa sauti halafu wanamalizia kwa kusema Takbiiiiiiiiiiiiiiir,kifuatacho Ni mlipuko.

Naona hizo movie zimewaathiri wazungu.
na muislamu akisema Takhbiiir, ujue Pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, Booooooooooooooooooooooooooooom
1660034270952.png
 
Wanaandikaje minyoo kwenye nchi za watu?
 
Watu 19 wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari manne ikiwemo treka wilayani Kahama mkoani Shinyanga.

Ajali hiyo imetokea katika barabara ya Isaka kwenye kijiji cha Mwakata halmashauri ya Msalala.

Ajali hiyo imetokea jana Agosti 8 majira ya saa 4 usiku ikihusisha gari ndogo aina ya IST (T880 DUE), Hiace (T350 BDX), lori (T658 DUW) na trekta.

Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali, inadaiwa kuwa trekta hilo lilikuwa likiendeshwa bila kuwa na taa za tahadhari (hazard) na kusababisha kugongana na uso kwa uso na Hiace.

Afisa muuguzi wa hospitali ya manispaa ya Kahama, Wilbert Mollel amesema kuwa jumla ya maiti 19 zimepokelewa sambamba na majeruhi 15.

Kaimu kamanda wa polisi mkoani Shinyanga ambaye ni kamanda wa Polisi Mkoani Geita ACP. Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa dereva wa trekta ambaye ni chanzo cha ajali amekimbia na juhudi za kumsaka zinaendlea.

Aidha Uongozi wa Mkoa wa Shinyanga ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Sophia Mjema umefika eneo la tukio na kulitaka jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani kusimamia sheria ili kuepukana na vifo vinavyoepukika.

#AzamTVUpdates #AjaliShinyangaView attachment 2318914

Wanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo. Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji ila hazikuwa za kujitoa muhanga wala kujilipua. Baadae maafisa wa usalama walifika nakuwachukua kwa upelelezi zaidi ila ikabainika sio magaidi, na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!

View attachment 2318918
safi sana
 
Hivi mwarabu alimkosea nini mzungu?

na wakati huo huo mwafrika anamnyenyekea mwarabu sana😅😅😅😂😂😂
Wanasema ukiumwa na nyoka kila uonapo jani lazima utashtuka. Kusema kweli mimi nadhani ni vizuri kuchukuwa tahadhari kwa kila jambo potelea mbali lawama. Kuhusu mwafrikamtu kunyenyekea mwarabu labda niseme siyo mwarabu tu ila mwafrika ananyenyekea races zote nyingine za dunia hii. Mwafika anaweza kumuua mwafika mwenzake na akaacha jamii nyingine.
 
Back
Top Bottom