Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

Wanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko Marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo.

Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji ila hazikuwa za kujitoa muhanga wala kujilipua. Baadae maafisa wa usalama walifika nakuwachukua kwa upelelezi zaidi ila ikabainika sio magaidi, na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!

View attachment 2318918View attachment 2319060

Kuna watu akili zao wanazijua wenyewe tu 😁😁😁 kuongea kiarabu ndio wamshuku gaidi!! Ugaidi wameleta wao na wasiwasingizie waarabu.
 
Movie za Hollywood zinaonyeshaga waarabu wakiongea wenyewe kwa wenyewe kwny ndege kwa sauti halafu wanamalizia kwa kusema Takbiiiiiiiiiiiiiiir,kifuatacho Ni mlipuko.

Naona hizo movie zimewaathiri wazungu.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Falaa sanaa...
 
Nimekaa uarabuni aisee acha tuu hawa jamaa wasikie tuu wana roho mbaya sana ,tena ukute wewe si wa din yao,wabaguz siyo mchezo ,niliishia kuwala wanigeria,na wasomali uchwara ,ukimgusa mtoto wa kiarabu umekwisha,alafu umkute mwarabu ana hela ,anakua shetan kabisa ,ndio maana hawatakiwi wawe super power ,watatuangamiza kabisa
 
Wavaakobazi ni viumbe wa kukaa nao kwa tahadhari sana..dini yao inawafundisha kuua watu wasio wa dini yao..

Hao maafisa usalama wamefanya jambo jema sana..tahadhari kabla ya hatari.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kama kwenye THE Dictator, Sacha alisema "September 11 is the best[emoji23],akasema Tena sep 11 2012 wazungu wakapiga yowe"
Hahah!

Sacha ni kichaa sana, kuna character yake moja ya kitambo alikua anajiita "Ali G" mcheki YouTube utacheka kinoma
 
Hahah!

Sacha ni kichaa sana, kuna character yake moja ya kitambo alikua anajiita "Ali G" mcheki YouTube utacheka kinoma
Huwa naipita tu,nitaisikiliza, Mara nyingi huwa napenda ile character ya Borat, Kuna Mzee walikuwa wanatambulishana akasema "I've spent years in construction but I've recently retired" Sacha akadakia "you Kno it's very nice of you to allow retards to eat with you"🤣
 
download.jpg
 
Huwa naipita tu,nitaisikiliza, Mara nyingi huwa napenda ile character ya Borat, Kuna Mzee walikuwa wanatambulishana akasema "I've spent years in construction but I've recently retired" Sacha akadakia "you Kno it's very nice of you to allow retards to eat with you"[emoji1787]
Hahah!

Sacha alitisha zaidi as "Borat" [emoji3]

Kwenye Da Ali G show kuna episode alikua anamhoji Trump enzi hizo mpaka alijaa nyembe.

Mwamba namkubali sana, umemcheki kwenye "Who is America?" nadhani jamaa atakua actor mwenye lawsuits nyingi sana aisee.

Ana characters nyingi sana, jamaa ni full package as an actor; Borat, Ali G, General Admiral Aladeen, Bruno, Dr. Cain etc etc
 
Nimekaa uarabuni aisee acha tuu hawa jamaa wasikie tuu wana roho mbaya sana ,tena ukute wewe si wa din yao,wabaguz siyo mchezo ,niliishia kuwala wanigeria,na wasomali uchwara ,ukimgusa mtoto wa kiarabu umekwisha,alafu umkute mwarabu ana hela ,anakua shetan kabisa ,ndio maana hawatakiwi wawe super power ,watatuangamiza kabisa

Nnahakika hujaishi na jamii hiyo, ni chuki tu zimekuandama dhidi yao 😁😁 pole sana my chief, ila jitahidi kutofuata mkumbo wa wengine waliojawa chuki vifuanimwao.

Inaonekana hata kifo cha Gadafi na Saddam kuna watu walifurahia!! Au sivyo chief!!! Au na wewe pia ulifurahia vifo vyao?

Ila tambua huyo huyo unaemuona mwema anakuona wewe si chochote, huna thamani kwake, mara kuwafananisha viumbe wa Mwenyezi Mungu na mnyama (KIMA) mbaya zaidi wengine mpaka wanatupiwa chupa za maji n.k kwenye michezo, . Huu ushenzi huwezi kuukuta kwa waarabu, na kama upo weka ushahidi hapa.

Narudia tena, hakuna watu wakarimu, wana imani na huruma kama waarabu, japo sio wote lakini wengi wao ni watu wazuri. Nimeishinao so nawajuwa vizuri mzee.
 
Waarabu husafiri kila siku Marekani kwenda kula bata na wanaongea kiarabu muda wote, mjiulize kwanini hao wawili walijikuta kwenye hali hiyo sio kuanza mizuka yenu ya kidini kabla kuupata ukweli.
 
Mkuu mbona unanichekesha na nimenuna hivi🤣🤣😅
Lakini ndo ukweli wenyewe..!! We hata ukiwa kwenye basi halafu kuwe na abiria amevaa ile ya kiarabu halafu awe ana harakati harakati fulani hivi hatulii..!! Kila mtu ataanza kuwa na mashaka..!!
 
Nimekaa uarabuni aisee acha tuu hawa jamaa wasikie tuu wana roho mbaya sana ,tena ukute wewe si wa din yao,wabaguz siyo mchezo ,niliishia kuwala wanigeria,na wasomali uchwara ,ukimgusa mtoto wa kiarabu umekwisha,alafu umkute mwarabu ana hela ,anakua shetan kabisa ,ndio maana hawatakiwi wawe super power ,watatuangamiza kabisa
Na huu ndo ukweli mchungu. Uarabuni ni shida hasa kwa sisi wamatumbi wanatuona kutuchukulia kama nyani tu. Yaan ndo wangekua wanatawala hii Dunia ingekua shida sana Tena sana

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Nnahakika hujaishi na jamii hiyo, ni chuki tu zimekuandama dhidi yao [emoji16][emoji16] pole sana my chief, ila jitahidi kutofuata mkumbo wa wengine waliojawa chuki vifuanimwao.

Inaonekana hata kifo cha Gadafi na Saddam kuna watu walifurahia!! Au sivyo chief!!! Au na wewe pia ulifurahia vifo vyao?

Ila tambua huyo huyo unaemuona mwema anakuona wewe si chochote, huna thamani kwake, mara kuwafananisha viumbe wa Mwenyezi Mungu na mnyama (KIMA) mbaya zaidi wengine mpaka wanatupiwa chupa za maji n.k kwenye michezo, . Huu ushenzi huwezi kuukuta kwa waarabu, na kama upo weka ushahidi hapa.

Narudia tena, hakuna watu wakarimu, wana imani na huruma kama waarabu, japo sio wote lakini wengi wao ni watu wazuri. Nimeishinao so nawajuwa vizuri mzee.
Ebu leta ushahidi hapa wa dada zetu huko uarabuni wanavyoteswa sana Tena sana Hadi wanauwawa. Leta hata mfano hapa wa wadada zetu kunyanyaswa huko west?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
 
Mama aliyetoa taarifa yupo sahihi, na vyombo vya usalama vilivyowashikilia kwa muda viko sahihi - hawa watu hawaaminiki tena hapa duniani.

Wamejiondolea trust wenyewe, better be in safe side.
 
Wangelikua ni watu weusi saivi tungekua tunajadili mada ya Ubaguzi
 
Na huu ndo ukweli mchungu. Uarabuni ni shida hasa kwa sisi wamatumbi wanatuona kutuchukulia kama nyani tu. Yaan ndo wangekua wanatawala hii Dunia ingekua shida sana Tena sana

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app
Safi mkuu naona umeshakaa huku pia ,acha tuu mkuu wangu mateso sana hawa siyo binadamu kabisa
 
Back
Top Bottom