Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

Wanaume wawili wa Kiislam wafukuzwa katika ndege huko Marekani

Nimekaa uarabuni aisee acha tuu hawa jamaa wasikie tuu wana roho mbaya sana ,tena ukute wewe si wa din yao,wabaguz siyo mchezo ,niliishia kuwala wanigeria,na wasomali uchwara ,ukimgusa mtoto wa kiarabu umekwisha,alafu umkute mwarabu ana hela ,anakua shetan kabisa ,ndio maana hawatakiwi wawe super power ,watatuangamiza kabisa
Ukweli mchungu
 
dini yao inawafundisha kuua watu wasio wa dini yao..

Lete aya inayosema hayo!!
Hao maafisa usalama wamefanya jambo jema sana..tahadhari kabla ya hatari.

#MaendeleoHayanaChama

Ebu leta ushahidi hapa wa dada zetu huko uarabuni wanavyoteswa sana Tena sana Hadi wanauwawa. Leta hata mfano hapa wa wadada zetu kunyanyaswa huko west?

Sent from my TECNO KG6 using JamiiForums mobile app

Nimekuomba ushahidi, nawe unaniomba.

Hebu pitia mauwaji ya watu weusi huko marekani mnakotamani kwenda kuishi.









Hao ni wachache sana waliouawa, endelea kupekua utakutana na maiti kibao, kisha uje na ushahidi wa hao unaowatuhumu kama utapata hata mmoja.
 
Back
Top Bottom