Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,546
- 2,983
Mwamba bin laden aliacha ukoko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzoefu wa Hollywood mkuu jinsi ulivyoamua kuonyesha picha ya waislam kwa dunia. Imetumika kama 'catch phrase' waliyoihusisha na ugaidi/uislam.true, but uzoefu unaonesha kama kuna kundi la waislamu wamechafukwa, wakisema hivyo ujue hapakaliki!
Mh, haya bwanaSio kweli, mimi kila siku nasema Takbiir na silipuki.
uko sahihi kabisa, lakini wakitaka kujibu "mapigo" wanatumia neno hilo......kama call up ya twende tutendeUzoefu wa Hollywood mkuu jinsi ulivyoamua kuonyesha picha ya waislam kwa dunia. Imetumika kama 'catch phrase' waliyoihusisha na ugaidi/uislam.
Tembelea mihadhara (mikusanyiko ya kidini) na misikitini utasikia sana Takbiir ikijibiwa na Allahu Akbar.
Wazungu na waarab wanakaa pamoja kwa machale machale
exactlyKulipa fine sio shida lkn hawataki litokee la kutokea wajilaumu
Mbona sisi kundi la Waislamu wa Yanga juzi tulichafuliwa na palikalika.but uzoefu unaonesha kama kuna kundi la waislamu wamechafukwa, wakisema hivyo ujue hapakaliki!
Mlichafuliwa na waganda marafiki...Mbona sisi Waislamu wa Yanga juzi tulichafuliwa na palikalika.
pengine movie hairudiwiKulipa fine sio shida lkn hawataki litokee la kutokea wajilaumu
Wala siyo mzungu pekee, hata sisi waafrika, muarabu akikurushia begi huku hujui lina nini utatoka mbio kali sana..!!! TATIZO NI WATU KUHUSISHA UGAIDI NA UARABU NA UISLAMHivi mwarabu alimkosea nini mzungu?
na wakati huo huo mwafrika anamnyenyekea mwarabu sana😅😅😅😂😂😂
ndivyo ilivyoWala siyo mzungu pekee, hata sisi waafrika, muarabu akikurushia begi huku hujui lina nini utatoka mbio kali sana..!!! TATIZO NI WATU KUHUSISHA UGAIDI NA UARABU NA UISLAM
Labda mabikra zako hawajatimia MbinguniSio kweli, mimi kila siku nasema Takbiir na silipuki.
Sio kweli, wako full wanangoja kibamia changu siku hiyo ya kiama.Labda mabikra zako hawajatimia Mbinguni
Wanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko Marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo.
Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji ila hazikuwa za kujitoa muhanga wala kujilipua. Baadae maafisa wa usalama walifika nakuwachukua kwa upelelezi zaidi ila ikabainika sio magaidi, na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!
View attachment 2318918
Unampenda sana mzungu hongera ila angalia ni ninamna gani anajifunza shabaha kwa kuwalenga waafrika huko ulaya jitazame na wewe lini utakuwa shabaha yakeHivi mwarabu alimkosea nini mzungu?
na wakati huo huo mwafrika anamnyenyekea mwarabu sana😅😅😅😂😂😂