πππdaahπππ Tatzo heruf za kiarabu zimekaa kivita vita.
Tom and JerryWazungu na waarab wanakaa pamoja kwa machale machale
Wachart = wachat.Ebu wabongo wawili wajitolee wakaongee Kiswahili hapo uwanjani na wao wachart then tuone matokeo ili tuijadili hii bila biases.
na muislamu akisema Takhbiiir, ujue Pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, BooooooooooooooooooooooooooooomMovie za Hollywood zinaonyeshaga waarabu wakiongea wenyewe kwa wenyewe kwa sauti halafu wanamalizia kwa kusema Takbiiiiiiiiiiiiiiir,kifuatacho Ni mlipuko.
Naona hizo movie zimewaathiri wazungu.
Shukrani kwa kunisahihishaWachart = wachat.
Watu 19 wamefariki dunia na wengine 15 kujeruhiwa kwenye ajali iliyohusisha magari manne ikiwemo treka wilayani Kahama mkoani Shinyanga.
Ajali hiyo imetokea katika barabara ya Isaka kwenye kijiji cha Mwakata halmashauri ya Msalala.
Ajali hiyo imetokea jana Agosti 8 majira ya saa 4 usiku ikihusisha gari ndogo aina ya IST (T880 DUE), Hiace (T350 BDX), lori (T658 DUW) na trekta.
Kwa mujibu wa mashuhuda wa ajali, inadaiwa kuwa trekta hilo lilikuwa likiendeshwa bila kuwa na taa za tahadhari (hazard) na kusababisha kugongana na uso kwa uso na Hiace.
Afisa muuguzi wa hospitali ya manispaa ya Kahama, Wilbert Mollel amesema kuwa jumla ya maiti 19 zimepokelewa sambamba na majeruhi 15.
Kaimu kamanda wa polisi mkoani Shinyanga ambaye ni kamanda wa Polisi Mkoani Geita ACP. Henry Mwaibambe amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo na kusema kuwa dereva wa trekta ambaye ni chanzo cha ajali amekimbia na juhudi za kumsaka zinaendlea.
Aidha Uongozi wa Mkoa wa Shinyanga ukiongozwa na Mkuu wa Mkoa huo Sophia Mjema umefika eneo la tukio na kulitaka jeshi la polisi kitengo cha usalama barabarani kusimamia sheria ili kuepukana na vifo vinavyoepukika.
#AzamTVUpdates #AjaliShinyangaView attachment 2318914
safi sanaWanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo. Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji ila hazikuwa za kujitoa muhanga wala kujilipua. Baadae maafisa wa usalama walifika nakuwachukua kwa upelelezi zaidi ila ikabainika sio magaidi, na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!
View attachment 2318918
Tafsiri ya Takbir kwa waislam ni mithili ya Bwana Yesu asifiwe kwa wakristo.na muislamu akisema Takhbiiir, ujue Pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, Booooooooooooooooooooooooooooom
View attachment 2318944
Sio kweli, mimi kila siku nasema Takbiir na silipuki.na muislamu akisema Takhbiiir, ujue Pwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa, Booooooooooooooooooooooooooooom
View attachment 2318944
true, but uzoefu unaonesha kama kuna kundi la waislamu wamechafukwa, wakisema hivyo ujue hapakaliki!Tafsiri ya Takbir kwa waislam ni mithili ya Bwana Yesu asifiwe kwa wakristo.
Wanasema ukiumwa na nyoka kila uonapo jani lazima utashtuka. Kusema kweli mimi nadhani ni vizuri kuchukuwa tahadhari kwa kila jambo potelea mbali lawama. Kuhusu mwafrikamtu kunyenyekea mwarabu labda niseme siyo mwarabu tu ila mwafrika ananyenyekea races zote nyingine za dunia hii. Mwafika anaweza kumuua mwafika mwenzake na akaacha jamii nyingine.Hivi mwarabu alimkosea nini mzungu?
na wakati huo huo mwafrika anamnyenyekea mwarabu sanaπ π π πππ