The Icebreaker
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 22,278
- 65,817
Huyo mzungu hujui kua yeye amedhuru wangapi hapa Duniani? Au ndio mahaba niue yamesha kutawala?Wanasema ukiumwa na nyoka kila uonapo jani lazima utashtuka. Kusema kweli mimi nadhani ni vizuri kuchukuwa tahadhari kwa kila jambo potelea mbali lawama. Kuhusu mwafrikamtu kunyenyekea mwarabu labda niseme siyo mwarabu tu ila mwafrika ananyenyekea races zote nyingine za dunia hii. Mwafika anaweza kumuua mwafika mwenzake na akaacha jamii nyingine.
Kulingana na asili yao waarabu ni wakorofi in natureIslamic phobia US na Europe iko juu sana, kibaya zaidi wamefungwa na democracy lakini wanatamani watimuliwe wote nchini mwao, kwasabb idadi yao inaongezeka kwa kasi kuliko dini yoyote duniani
Ni hivi dini yao ikubali unyonge,Kulingana na asili yao waarabu ni wakorofi in nature
Rudia kusoma upya!
Huwa hawakubaliani na ujinga wa mzunguKulingana na asili yao waarabu ni wakorofi in nature
Tom and Jerry
Kwenye heading wanaume wawili wakiislamu ila maelezo yako unasema walikuwa wanaume wawili wakiarabu hii uhamaanisha nin? Au unafikiri kila muarabu ni muislamu??Wanaume wawili ambao walikuwa wakichati kiarabu kwenye simu na pia kuzungumza kiarabu kwenye ndege huko Marekani ya Alaska airlines! Abiria mwingine katika dege hilo aliwaona wakichati na kuongea kiarabu ndipo alipotoa taarifa katika wahudumu wa dege hilo.
Nao wahudumu wakatafsiri zile meseji ila hazikuwa za kujitoa muhanga wala kujilipua. Baadae maafisa wa usalama walifika nakuwachukua kwa upelelezi zaidi ila ikabainika sio magaidi, na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!
View attachment 2318918
Ni waislamu ndio hakuna mjadala mkuu utake usitake labda kama unalako jambo!Kwenye heading wanaume wawili wakiislamu ila maelezo yako unasema walikuwa wanaume wawili wakiarabu hii uhamaanisha nin? Au unafikiri kila muarabu ni muislamu??
Inaelekea unakosa usingizi kabisa unajaa hofu unaposikia neno uislamu safi sanaNi waislamu ndio hakuna mjadala mkuu utake usitake labda kama unalako jambo!
Tatizo mwarabu hatabiriki,yuko tayari mfe wote.Wazungu na waarab wanakaa pamoja kwa machale machale
Unafungua shauri dhidi ya action sahihi ya wasiojulikana??????na sasa wamefungua shauri mahakamani kwa kuzalilishwa kisa kikiwa kuongea kiarabu kwenye dege la wazungu!
Yaani watu ni aidha wanasahau au hawajui kilichotokea enzi za world trade centers.Wanasema ukiumwa na nyoka kila uonapo jani lazima utashtuka. Kusema kweli mimi nadhani ni vizuri kuchukuwa tahadhari kwa kila jambo potelea mbali lawama. Kuhusu mwafrikamtu kunyenyekea mwarabu labda niseme siyo mwarabu tu ila mwafrika ananyenyekea races zote nyingine za dunia hii. Mwafika anaweza kumuua mwafika mwenzake na akaacha jamii nyingine.
Watu wachache wasiojua vzr dini ya kiislam wanasababisha wengine wote waogopwe!Yaani watu ni aidha wanasahau au hawajui kilichotokea enzi za world trade centers.
Huyo abiria aliyewashuku yupo sahihi kabisa na anastahili pongezi ukizingatia alichokifanya US kwa Al-qaida karibuni.
Binafsi sioni uonevu wote hapo.