Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
Pia hivyo ni sahihi.Na vipi siku mke anapotea watoto wataishi vipi? Naye mke aandike majina ya watoto kwenye mali zake, siyo majina yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia hivyo ni sahihi.Na vipi siku mke anapotea watoto wataishi vipi? Naye mke aandike majina ya watoto kwenye mali zake, siyo majina yake.
Mahaba niliopewa mazitUlikuwa lisenge eeh
Katika mgawanyo wa mali basi sjaona utaratibu mzuri kama wa dini ya kiislamu aliouweka mola mwenyewe na sio ss wanadamu maana ndio umeona balaa hilo talaka kataka mwenyewe na mali igawanyweNi maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi
Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.
Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??
Bora hata muandike majina ya watoto wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app