Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Ili swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??

Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc

Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..

Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
mmmh aseee
 
Majority ya wamama now days wanangalia hela. .CR7 mpk sasa hajafunga ndoa hujiulizi kwann?...Emmanuel Ebue mchezaji wa zamani wa Arsenal kafilisiwa na aliekua mkewe. .Hakimi ni muislam so hawezi ishi km mkristo lazima awe namke. ..alichofanya ni sahihi kwa mtu alienae
 
Ni maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi

Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.

Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??

Bora hata muandike majina ya watoto wenu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Tatzo serikali haitambui kuandika watoto[emoji4]
 
Watu wamepata taarifa tu, hamna mwanaume anashadadia lolote. Watuwamepata taarifa wanastorika tu.
Watu jumapili leo wanafikiria kwenda site na wake au wachumba zao. Wamama zao wamekaa huko hawajui lolote. Maisha yanaendelea huyo hakiki aendelee na ujinga wake.
 
Mi naona kuna shida hata kwa huyo Hakimi mwenyewe,maana kama aliandikisha mali zake zote kwa mamaake basi atakuwa anashida ya kimahusiano na yeye yani sidhani kama alikuwa anamcare huyo mpenzi wake
 
Sasa ulitaka Hakimi afilisiwe? Mkewe pesa anazo why aende mahakamani kudai wagawane 50%? Ni golddigger huyo na bora alivyopigwa na kitu kizito.
 
Ingekuwa vizuri mngefata mapenzi na pesa, sasa nyie wanawake Wengi mapenzi na sisi hamtaki mnataka pesa tu To yeye
Sasa pesa sisi hatuzitaki? Unajua shida inaanza na mwanamke kutengeneza fikra za kibinafsi kichwani kisha kuziundia mkakati hapo ndipo ujinga wao unapoleta shida.

Huwezi kaa na mtu halafu unawazia kuwa atakufa atakuacha pekee yako, kwan wanawake wangapi wanakufa wanaacha wanaume zao hai, wapi imeandikwa?!

Kwann kama mwanamke asiwekeze muda wake kumuombea afya njema mume wake, amsaidie katika kufanya biashara na kukuza mtaji wa familia, amsaidie kulea watoto vizuri,na kupanga retirement plan pamoja siku za usoni watakapoanza kuwa wazee.

Ni kuendekeza matabia ya kibinafsi na uhuni uliochanganyika na tamaa. Wacha tu wanaume wawe watata na mali zao kama mtu anakuja na mahesabu ya kukudhoofu na kukufilisi kwann usimnyooshe kabla hajakunyoosha.

Na kwa style hii Ndoa zitaanza kuadimika au kutokudumu sababu kama jamii tunakalia kimya tabia hizi za hovyo za wanawake eneo la mahusiano.

Wanawake wajifunze kuishi vizuri na Wanaume zao na kuwapenda kama wanaume zao na sio kuwapenda kwasababu ya mali zao na mwisho wa siku watake kujimilikisha.

Hapa ndipo ninapomuelewa puff daddy.
 
Mwanamke anaweza kukupenda akakupenda na kukupenda ukahua umependwa saana kumbe ana jambo lake kichwani. Akishalitimiza tu anabutua na harudi nyuma. Kisa cha kajala na harmonizer kilinifunza mengi sana.
Harmonizer alijua kasamehewa alijua amependwa tena ila kajala nia yake ilikuwa ni kulipa kisasi cha konde kumrongoza kajala.
Alichoenda ni kuhakikisha kampukutisha mzee baba pochi nzito then abutue. Maana sio kwa bata zile najua hata cash kamvuna sana konde
 
Mala 1000 mali ipotelee kwa ndugu wa damu.. kuliko mtu mnekutana nae ukubwani.. anatapanya mali na wahuni wengine.. Wanawake wamekuwa wauaji sana kama kwa waune kwenye eneo la mali nina jamaa yangu alipigwa na kitu kizito.. hadi alikufa kwa msongo wa mawazo na kwa mateso makali.. mambo haya haya ya mali.. mwanamke alibeba karibia kila kitu, na watoto jamaa akapigwa biti kisheria kuwaona.. ohooo mkuu hujakutana na visaaa vya kutosha.. Hakim ni Mungu tu alimtonya kwa hisia

Tena wanastyle yao iyo ukiwa na ela atakuambia watoto ni wako kwaiyo hudumia wakati na yeye anajiweka umoumo kwenye huduma na mshaachana na hawakubali ukae na watoto ukishidwa bas mgawane pasu kwa pasu, ila akiona kapuku hauna hili wala lile na watoto anakutupia apo ili akukomeshe af anakumbia utaota umuhimu wake anaenda zake kutafta kwa wenye nazo.

Ila wengi hua wanaonekana hata kwa macho GOLDDIGGERS hua hawajifiichi uzuri, na wapo wanawake wasio na mda na material things yan hata ukiachana nae anakuacha na mali zako for good na hua lazima utawakumbuka baada ya mda.
 
Kwangu Mimi mke ni first before all others.
Your life path is your only experience. Wengine Wana ndugu wa ovyo sishangai.
Nakupa huu mtihani chonga mchongo ulazwe hospital miaka mitano ama Kama una kazi jifukuzishe kaa home two years huna hata Mia,
Ama jitunge jela miaka mitatu ukirudi ameshaolewa Ila ndugu na mama yako bado watakuwa Ni ndugu zako.

Ama ugua uanze kutoa harufu Kali na pia Yale mafunza Kama ya chooni yanatokatoka kwenye kidonda,

Ama ugua uwe unajihalishia mwaka mzima.


Haya yakitokea ndio urude kuongea hapa.

Mke anakuacha Ila Kama yako ama mama yako hawezi kukuacha.

Labda uzoefu wa Koo yako uko sahihi Mie Niko wrong
 
Was she suffering before marrying her? She wanted to be free as she was before not to be rich and free. Mostly the woman in the scenario was after Hakimi's possession. What if a man files for a divorce, would he have allowed to split half of woman's property? These western exploitative feminist laws are costing men's fortune and Hakimi has paved the way. They're the ones want to see men suffering after the break-up and financial disturbance. In simple way as in islamic law, the one filing for a divorce compensates the other.
 
Back
Top Bottom