Achraf Hakimi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2010
- 943
- 1,944
Nipo hapa nasubiria tunzo yangu ya mwanasoka bora barani Afrika mwaka huu! Na pia niwe mgeni rasmi kwenye kikao chetu cha marijali! HahahaNaona umejiita jina la Mwamba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipo hapa nasubiria tunzo yangu ya mwanasoka bora barani Afrika mwaka huu! Na pia niwe mgeni rasmi kwenye kikao chetu cha marijali! HahahaNaona umejiita jina la Mwamba
Mwanaume anatakiwa kupewa nini anapotengana na mwanamke?
Mtego huu 😂😅 pekua ukiukosa nipm nitakupa uo ujumbe upya
eboue akiwa katika pozi na shetani junyia
Lkn suala la kuwa chombo cha starehe kwa baba yako usilipinge..Apana mkuu mama angu ameish maisha ya kuvumilia sana asee had marehem mzee wangu alikuwa anasema mkitaka kuoa oeni mwanamke mwenye sifa za mama yenu maan amenvumilia san nilikuwa jeur nikitoka ad sku tatu ndo narud na maneno kibao yabaki( )
na una unazan n kwann wanasema hiv kwasabu wazaz wana maono ukitaka kuamin mzazi akikukataz jambo ww ukingangania utakiona alicho kuwa anajukataza kitajirudia
Mf bint yako akikuletea mchumba ake anae taka kumuoa kwa maelez na matendo unaeza ukaona uyu siy muoaji au ni mzenguaj na ukamuinya bint yako ndo hvohvo kwa wamama japo watatuachia uhuru wakuish na wenzetu ila wanatupa tahadhar.
We unafikir mama ake uyo mchezaj hakim kunavitu aliviona kwa mkwewe lakin akutaka kuingilia uhuru wao ila akamweka sawa mwanae wenda ndo hayo yametokea leo
Jinn Mufiriseboue akiwa katika pozi na shetani junyia
hahahahaJinn Mufiris
Mwana kabeshwa mdori ili baadae utumike km ushahidi 😂😂😂😂😂, unasikia mwanagu,li baba yako lilikuwa halikujali wala kukupenda,lilikuwa tayari kubeba midori kuliko kukubeba wewe.
Nyie ndiyo mnawaendekeza acha wawanyoosheeKuna dada nimefahamiana naye miezi 3 nyuma aisee huyo kwangu ndio kavunja record ya kupiga mizinga. Kwakweli niseme tu nime surrender [emoji119][emoji119][emoji119].
Kodi ya nyumba, kuna mzigo anataka kusafirisha sijui nini huko, hela ya matumizi, simu imeharibika, mara kuna mzigo anataka kukomboa aisee... yaani ni kila siku.
Sasa huyu ukimuoa si ndio kama mke wa Hakimi. Nimepiga mara moja inatosha aisee. Yaani hana huruma na pesa yako kabisa hata umueleze unachopitia na real lakini haelewi yeye anachotaka ni pesa. Hivi kabla ya kufahamiana alikuwa anaishi vipi?
Shetani huyu alikuwa ana kamilisha mission na alifanikiwa.
Wala sio mtego usiogope siwezi kukudhuru kama ujauona fanya ukuje 😊😉Mtego huu 😂
Kwenye koo lako kuna kitu?Mbona mmenikalia kooni wamachame [emoji23]
Majina ya watoto haohao wanaopandikizwa sumu na mama zao kumsema baba yaoNi maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi
Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.
Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??
Bora hata muandike majina ya watoto wenu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka mwanaume apewe nini?? Yan unataka Mali ya mwanamkeMwanaume anatakiwa kupewa nini anapotengana na mwanamke?
Unakuwa wapi?? Watoto wanapandikizwa sumuMajina ya watoto haohao wanaopandikizwa sumu na mama zao kumsema baba yao
Wakati mwingine hata mama yako ni mke wa mtu sio wa kumwamini jiamin pekeakoWanawake ndio chanzo mpaka kufikia huko.
Note: Mwanamke sio wa kumuamini kabisa zaidi ya mama yako mzazi
Hahahaha daaah
Miaka 500 wakat uo wewe ukowapIli swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??
Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc
Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..
Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
Ujasikia kuna mahar nimepinga kuwa mother akuwa chombo cha starehe😀Lkn suala la kuwa chombo cha starehe kwa baba yako usilipinge..
Lkn mkuu,mama yako angekuwa mwenye maadili hivi ange kufundisha kumuita baba yako MZEE badala ya kumuita BABA?
Inasikitisha sana...Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..