Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Kwani nyie wadada mnatupendaga Kweli, au mnafataga pesa tu toka kwetu To yeye[/US
[/QUOTE]

Kwani nyie wadada mnatupendaga Kweli, au mnafataga pesa tu toka kwetu To yeye
Na wanataka wapendwe vip sasa nakupa mf. Wenye uhalisia kuna jamaa yangu alioa mke wakabahatika kupata watot wawili

Uyo mwanamke n mama wa nyumbani, mwananke akataka awekewe wafanyakazi wawili kwavile maisha safi jamaa aka mwekea

mwanamke kuamka n saa nne wanchemshie maji ya kuoga wamfanyie usaf chumban kwake wamtengee na chai had boxa za mume ma beki tatu wakawa wanafua

Mumewe alikuwa anamind kwel kwel lakin mke wap, bas mwamba aka mfungulia min super maket sasa apo ndo vimbwanga ela ya shop anaweka mafuta kwa gar misele kwa mashost n.k mpaka duka ikafungwa akamfungulia salon yakike ikafungwa akampa mtaji wa kwenda uganda kuchukua nguo n.k nao mtaj ukafa yy mama n mwendo wa mashost na yale mashereh ya wanawake akos kuhudhuria na ujinga kibao mwamba ikawa n stress akimwambia mwanamke tuzae mwanamke anakataa et maisha n magumu 😃😃😃😃
Uyo anaesema maisha n magumu kila sku n misele ya kwenye gar tu. Mpaka jamaa alisha amua kutulia tu.
Ko ukifatilia nowdayz tunakizaz cha wanawake ma lilith
 
Hata hao wasomi ukimpata wa Ubavu wako pepo unaanzia kuiona hapa hapa.
Nakataa, usomi haukuwa kwa ajili ya wanawake, na ndo maana zamani walikua ignored kwenye kila kitu. Ujuaji wetu na liberation za kipuuzi ndo zimetufikisha hapa.

Kwenye jamii za zamani hata sensa wanawake walikua hawahesabiwi. Kila mwanamke alopata power basi alileta majanga. Mungu alikua na maana yake kusena wanawake tuishi nao kwa akili sababu Yeye ndo muumba anajua alichotengeneza.
 
eboue alikua kwenye brink ya kujiua masikini
1681627677587.jpg
 
Mimi binafsi mali zangu au vitu vyangu nikitaka kununua mama lazima ajue na nimemwandika yeye kwenye vitu vyangu vingi sana nimejifunza kwa mjomba wangu

Mwanamke anaweza kukua ili abaki na mali hasa wamachame
Safi sana.Sisi tusio na mama zetu sijui tuandike akina nani??
 
Uzuri mama hataacha wanao wateseke hata ukifa leo sio hawa many'ang'au...Ukifa tu anahamishia michepuko yake ndani mwaka tu hana hata mia hata kama uliacha mabilioni hapo ni kama hajataka kukulostisha kwa kuomba talaka...I stand with Hakimi!
 
Nakataa, usomi haukuwa kwa ajili ya wanawake, na ndo maana zamani walikua ignored kwenye kila kitu. Ujuaji wetu na liberation za kipuuzi ndo zimetufikisha hapa.

Kwenye jamii za zamani hata sensa wanawake walikua hawahesabiwi. Kila mwanamke alopata power basi alileta majanga. Mungu alikua na maana yake kusena wanawake tuishi nao kwa akili sababu Yeye ndo muumba anajua alichotengeneza.
Huwa nasikia kuwa mpaka kesho nchini Israel mwanamke hahesabiwi,kuna ukweli hapa?

Mimi naona ni sahihi maana sera na missions mbovu wametumika wanawake kuzifanikisha.
 
Kweli kabisa kuna mtu anapenda kukaa singo maza? Na kama yupo ni anadanganya, deep down anataka sana mtu sema hajabahatika.

mawazo ya kuvunja ndoa ili mgawane mali nadhani Tz sio sana kama huko Ulaya.
Sawa mama but kafatilie kweny mabaraza ya mashaur ya ndoa uko ndo utaelewa,
 
Km mama (avae uhusika wa mama yake Hakimi),km mke (wanao vaa uhusika wa demu wa Hakimi). Mjadala wa usahihi wa Hakimi uko kwa mwanamke km mama.
Vyema.
Ila adui wa mwanamke ni mwanamke mwenye we , wakikusumbuana hakuna haja ya kubishana nao nikuwagonganisha wenyewe kwa wenyewe wanapoteana[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna msemo wa kinyamwezi unasema "She is not yours, it's just your turn to hit that pvssy". Ukifuata huo msemo utajiepusha na majanga mengi sana.
Eeh ndio ukweli, kama ilivyo nyumba ya kupanga yoyote anaweza kupangishwaa.. na kuhama vile vile
 
Km mama (avae uhusika wa mama yake Hakimi),km mke (wanao vaa uhusika wa demu wa Hakimi). Mjadala wa usahihi wa Hakimi uko kwa mwanamke km mama.
Vyema.
Na wamama skuiz wanakuambia uyo mke unae muoa hakikisha asijue kila kitu juu yako... Sasa jiulize ninkwanini ndo ujue wanajuana kwa kizazi hiki cha wanawake nn kipo mbel
 
Ila adui wa mwanamke ni mwanamke mwenye we , wakikusumbuana hakuna haja ya kubishana nao nikuwagonganisha wenyewe kwa wenyewe wanapoteana[emoji23][emoji23][emoji23]
Ni chombo cha starehe,hata mama yangu kwa baba ni chombo cha starehe.
Uhuru na haki sawa hizi vimewaharibu.
Ebu fikiria,utasikia mama anatamba kitaa kuwa amelea na kukuza binti yake na lazima kitaani wamkome,na hapa haongelei elimu na ubunifu bali anaongelea tako kubwa alilo nalo na nywele ndefu alizo nazo. Hili ni AJABU lingine walilo nalo wanawake wengi.
 
Back
Top Bottom