Teslarati
JF-Expert Member
- Nov 21, 2019
- 2,621
- 10,466
Paul ndo kulwa kwa kikwetu sababu ndo alitangulia kutokaHivi Petro ndo Kulwa!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Paul ndo kulwa kwa kikwetu sababu ndo alitangulia kutokaHivi Petro ndo Kulwa!!?
Kweli kabisa kuna mtu anapenda kukaa singo maza? Na kama yupo ni anadanganya, deep down anataka sana mtu sema hajabahatika.Kuna uzi flan nikiweka kuhus sheria za ndoa kufanyiwa marekebisho lakin nahs wali ushikiria:
Iko hiv wanawake wa sasaiv wamekuwa wanakasumba moja yakuto kusikiliza wanalotaka liwe,wanapenda sana kuish singo mother wakiamin awapat aza yoyote
Wanahamin ata angetafta mwanaume yy akizngua mar ztagawanywa ala akitafuta yy na akazngua mari zinabak kwakwe wakiamin mwanaume anaish katka har yoyote ndo maana unaona wanaume weng leo ni ma hopeless,stress kibao n.k
Asilimia kubwa ya wanawake leo wanakuja kuish kwa mwanaume kwa lengo flan na wala siyo upendo ndo maana unaona usaliti n mwing kwa wanawake yan sasaiv ukitafuta nyuz za wanaume kusalitiwa n nying kuliko za maendeleo.
NDIYO MAANA NKASHAUR WANAUME MALI ZETU ANDIKISHEN MAJINA YA MAMA ZENU IYO NDO NJIA RAHIS YA KUKUFANYA UISHI BILA STRESS NA MAGONJWA YA SUKAR NA BP
Bado hamjakuwa. Still boys mind...Ndo hivo, mie kuna kidem kumenizalia huwa naspend nacho muda mwingi nikiwa likizo, anakaa kwenye nyumba yangu lkn nikiwa pale kuna siku naweza kuamka saa nane usiku nikawasha baby woka yangu huyo. Narudi kesho saa tano. Siku moja akahoji nikampiga biti moja hadi akatulia. Pale home anakaa na mdogo wangu wa kike napaties kila info, na mwaka huu nitafunga cctv.
Jinsia yyt ya kike haina haki ya kuelewa mishe za me, wakikuelewa tyr watakudharau. Hata kama huna hela ww jitahidi usisomeke tu
Uhandah sio mzur tuvumiliane kama umeelewa somo mkuuMkuu shukrani
Una hoja nzuri ila uandishi wako unakufelisha
Kuna Ile current ruling ya mahakama Kuu ya Kenya kuwa kwenye kugawana baada ya ndoa kuvunjika hakuna mambo ya:Na hawatokaa waamini. Sheria ya ndoa ipitiwe upya.
💪💪💪💪💪💪💪💪Uhandah sio mzur tuvumiliane kama umeelewa somo mkuu
Game done changed fella,Bado hamjakuwa. Still boys mind...
Mkiwa wakubwa mtaelewa how the game goes
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamuamini macho yenuuuuuuuuHumu wengi wetu ni bendera fuata upepo. Tunapoteza muda kuwadiscuss watu na wametuzidi mbali sana [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
sikukuona but uliona ujumbe wangu?
Nisha poa ila nimejifunzaPole mkuu
Brace yourself up
Hiyo imekaa vyema maana wanataka 50/50 wasioweza kuitendea hakiKuna Ile current ruling ya mahakama Kuu ya Kenya kuwa kwenye kugawana baada ya ndoa kuvunjika hakuna mambo ya:
1)Sijui alikufulia nguo
2)Sijui alikuuguza
Kikubwa ukitaka mgawanyo ni lazima Kila mtu aonyeshe risti ya kile alichonunua ndani
Sijao mmachame ila nataka kuoa mtu wa old moshiKwa hiyo umeoa mmachame?
SIku ukapigwa tukio, ndio utajua hizi bi boys mind au taadhari ... nimekaa na mzee wangu ana zaidi ya mika 80.. anamwaga darasa la taadhari ya kuishi na wanawake hasa katika kizazi hiki cha tamaa na ukaidi..Bado hamjakuwa. Still boys mind...
Mkiwa wakubwa mtaelewa how the game goes
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaoeleweni na matajiri wenye vitambi,wakishindwa shoo njoeni kwetu vimbaumbau maskini tuwanyoosheMapenz na pesa.... mapenz na umaskini ni adui
Mpe hi mzee wakoSIku ukapigwa tukio, ndio utajua hizi bi boys mind au taadhari ... nimekaa na mzee wangu ana zaidi ya mika 80.. anamwaga darasa la taadhari ya kuishi na wanawake hasa katika kizazi hiki cha tamaa na ukaidi..
C c Emmanuel Eboue alikuwa amepanda na kuamini sanaa. Kidogo ajiue ..
Piga pumbu,ukimaliza tupa kuleNisha poa ila nimejifunza
Ukimpenda mtu mbona 50/50 utaitendea haki.Hiyo imekaa vyema maana wanataka 50/50 wasioweza kuitendea haki