Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Ofcoz hili jamaa huwa nakubali mziki wake tu, ila yeye kama yeye hana akili kabisa. Psquare ilibidi iwe no1 africa lkn utengano wao wa kila siku umewarudisha nyuma sana
Hata kimuziki anabebwa na rude boy ndio maana kipindi wakiwa solo artist rude boy ndio alikuwa akifanya vyema
 
Mwanamke hatakiwa kujua mvt zako , kama kujua ajue 3% tu.. 😅😅😅 mengine asijue
Ndo hivo, mie kuna kidem kumenizalia huwa naspend nacho muda mwingi nikiwa likizo, anakaa kwenye nyumba yangu lkn nikiwa pale kuna siku naweza kuamka saa nane usiku nikawasha baby woka yangu huyo. Narudi kesho saa tano. Siku moja akahoji nikampiga biti moja hadi akatulia. Pale home anakaa na mdogo wangu wa kike napaties kila info, na mwaka huu nitafunga cctv.

Jinsia yyt ya kike haina haki ya kuelewa mishe za me, wakikuelewa tyr watakudharau. Hata kama huna hela ww jitahidi usisomeke tu
 
Back
Top Bottom