Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Aahaaaaaa
Miye mama mkwe zangu wote Huwa wananikubali
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aahaaaaaa
Na hawa wamama wanaotupa watoto?Mama mzazi ndio binadamu pekee duniani ambae hawez kukusaliti... Ova
Na huyu petro ndio chanzo cha utengano waoHuyu jamaa nae ngoja aje afanyiwe ya nikki wa pili, sababu hadi migogoro ya psquare huwa ni sababu ya mke wake anamuendesha sana jamaa.
Sawa mkuu. Je ni sahihi kutompa chochote mke ikiwa mnatengana??issue ni kwamba, mtu anabadilika katikati
mwanzo alificha kabisa zile tabia za ugold digging, mbeleni ndiyo zinaanza chomoza,
fukufuku, lilianza kipindi jamaa kapata shutuma za ile kesi, ndiyo akajua rangi ya halisi ya bibi wake, kumbuka zilikua ni shutuma(hakuna proof) na bibie alikuwa yuko 100% upande wa victims
na hapo tayari mshasainishana ule ujinga ujinga
hapo ndipo unaposanuka kimya kimya
🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔🤔Wife ni kama msela, sio damu moja anytime tuna mwagana.. ila familia haiwezi kukumwaga hata ukiwa chizi.. ila mke ataolewa.. fungwa miaka 20.. kama utamkuta mke wako single.. ila famili yako utaikuta na upendo ule ule.. ishini nao kwa akili..
Sawa hujambo ?
Msioe kama hamuwaamini wanawake zenu.Kaandikiwa na demu wake.. ila anajua fike nyie watu hatari
Hakuna,huo ndo uhalisia....muache ubinafsi wanaume....tupendeni kweli😂 anajichetua tu apate attention
Ndiyo ni sahihi kama analeta usenge
Kabisa
Hatuwapendi ng'ooooHakuna,huo ndo uhalisia....muache ubinafsi wanaume....tupendeni kweli
Ofcoz hili jamaa huwa nakubali mziki wake tu, ila yeye kama yeye hana akili kabisa. Psquare ilibidi iwe no1 africa lkn utengano wao wa kila siku umewarudisha nyuma sanaNa huyu petro ndio chanzo cha utengano wao
child support anaweza pata
Wengine hatujui kuficha pesa😅😅😅 mie mwanamke hatokaa ajue hata sehemu natunza hela.. kikubwa anapata huduma natoa wapi hela sio kazi yake kujua
Sawa,nasi hatutowazaliaHatuwapendi ng'oooo
Kwamba katoliki ndio haivunjiki au katoliki haiwezi Mali kuandika jina la Mama?I will suffer kwa stress [emoji23]
Ila kibongo bongo hizi mambo hamna, tena hizi zetu za kikatoliki unamvunjia nani?
Kwa Hakimi labda kijana alishtuka kuona mbona mshangazi umemuhurumia [emoji1]
Miaka 500? Wee miaka 59 ijayo tuu watu tutakuwa tunagegedana hadhari kama mbwa tuu. Ndoa itakuwa zilipendwaIli swala la Hakimi lime-trend duniani kote ukiingia nairaland, JamiiForums.com, etc wanaume wanampongeza Hakimi, najiuliza ina maana wanaume wote hao wameshawahi pigwa na vitu vizito kwenye mahusiano yao na wanawake??
Ina maana kati ya wanaume wanaompongeza Hakimi, kuna walioliwa nauli,, kuna waliohudumia wanawake wakaishia kuachwa kwa dharau, kuna waliosomesha wachumba wakapigwa. Etc
Imefika mahali mwanaume akiwa na hela hamwamini mwanamke yoyote, kila saa anajishtukia kwamba huyu mdada amefuata pesa kwangu na sio upendo, hata sie wanaume makapuku tunaogopa kutongoza.. maana twajua kinachofuata ni makombora..
Hali ikiendelea hivi, Najiuliza mfano Mungu akiiacha dunia hivi hivi miaka 500 ijayo, taasisi ya ndoa itakuaje? Watu watafunga ndoa kweli??Wanaume tunaogopa wanawake, wanawake wanavizia wanaume.
Mtoto sijabalikiwa kwasasaKwan nini usimuandike mwanao/wanao? Ushawah jiuliza hata siku mfano unapotea watoto wako wataishi vipi? Una uhakika ukiwa haupo hao unaowaita ndugu wataweza kuwajali wanao? Ukipata majibu utajua kama ulilofanya ni sahihi ama kinyume.
Sent using Jamii Forums mobile app