Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Ni maisha ya kutokuaminiana....na ubinafsi

Wengi wameoa Ila hawawaamini walio waoa.

Kwann Mali ziandikwe jina la Mama?? Akifa hizo Mali zikigawanywa Kwa wanafamilia wengine utalalamika??

Bora hata muandike majina ya watoto wenu.



Sent using Jamii Forums mobile app
Mala 1000 mali ipotelee kwa ndugu wa damu.. kuliko mtu mnekutana nae ukubwani.. anatapanya mali na wahuni wengine.. Wanawake wamekuwa wauaji sana kama kwa waune kwenye eneo la mali nina jamaa yangu alipigwa na kitu kizito.. hadi alikufa kwa msongo wa mawazo na kwa mateso makali.. mambo haya haya ya mali.. mwanamke alibeba karibia kila kitu, na watoto jamaa akapigwa biti kisheria kuwaona.. ohooo mkuu hujakutana na visaaa vya kutosha.. Hakim ni Mungu tu alimtonya kwa hisia
 
Mimi binafsi mali zangu au vitu vyangu nikitaka kununua mama lazima ajue na nimemwandika yeye kwenye vitu vyangu vingi sana nimejifunza kwa mjomba wangu

Mwanamke anaweza kukua ili abaki na mali hasa wamachame
Mwanamke hatakiwa kujua mvt zako , kama kujua ajue 3% tu.. 😅😅😅 mengine asijue
 
Back
Top Bottom