Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Wanaume wengi, kushangilia swala la Hakimi ni hatari kwa future ya ndoa na mahusiano

Ndo hivo, mie kuna kidem kumenizalia huwa naspend nacho muda mwingi nikiwa likizo, anakaa kwenye nyumba yangu lkn nikiwa pale kuna siku naweza kuamka saa nane usiku nikawasha baby woka yangu huyo. Narudi kesho saa tano. Siku moja akahoji nikampiga biti moja hadi akatulia. Pale home anakaa na mdogo wangu wa kike napaties kila info, na mwaka huu nitafunga cctv.

Jinsia yyt ya kike haina haki ya kuelewa mishe za me, wakikuelewa tyr watakudharau. Hata kama huna hela ww jitahidi usisomeke tu
💪💪💪💪💪💪💪💪💪
 
Hakuna,huo ndo uhalisia....muache ubinafsi wanaume....tupendeni kweli
Ubinafsi gani? Tuliambiwa tuishi nanyi kwa akili na Hakimi ameitumia hiyo akili imekua ubinafsi?
Nitakua wa mwisho kuamini kuwa Huda hakufuata/hakushawishika na pesa kuolewa na hakimi. Na kwa sababu hiyo hakimi yupo sahihi sana kwa alivyofanya cha msingi atoe child support maisha mengine yaendelee
 
Kuna uzi flan nikiweka kuhus sheria za ndoa kufanyiwa marekebisho lakin nahs wali ushikiria:
Iko hiv wanawake wa sasaiv wamekuwa wanakasumba moja yakuto kusikiliza wanalotaka liwe,wanapenda sana kuish singo mother wakiamin awapat aza yoyote
Wanahamin ata angetafta mwanaume yy akizngua mar ztagawanywa ala akitafuta yy na akazngua mari zinabak kwakwe wakiamin mwanaume anaish katka har yoyote ndo maana unaona wanaume weng leo ni ma hopeless,stress kibao n.k
Asilimia kubwa ya wanawake leo wanakuja kuish kwa mwanaume kwa lengo flan na wala siyo upendo ndo maana unaona usaliti n mwing kwa wanawake yan sasaiv ukitafuta nyuz za wanaume kusalitiwa n nying kuliko za maendeleo.
NDIYO MAANA NKASHAUR WANAUME MALI ZETU ANDIKISHEN MAJINA YA MAMA ZENU IYO NDO NJIA RAHIS YA KUKUFANYA UISHI BILA STRESS NA MAGONJWA YA SUKAR NA BP
 
Ubinafsi gani? Tuliambiwa tuishi nanyi kwa akili na Hakimi ameitumia hiyo akili imekua ubinafsi?
Nitakua wa mwisho kuamini kuwa Huda hakufuata/hakushawishika na pesa kuolewa na hakimi. Na kwa sababu hiyo hakimi yupo sahihi sana kwa alivyofanya cha msingi atoe child support maisha mengine yaendelee
💪💪💪💪💪💪💪💪💪
Hawaamini macho yaooooooooo
 
Ndo hivo, mie kuna kidem kumenizalia huwa naspend nacho muda mwingi nikiwa likizo, anakaa kwenye nyumba yangu lkn nikiwa pale kuna siku naweza kuamka saa nane usiku nikawasha baby woka yangu huyo. Narudi kesho saa tano. Siku moja akahoji nikampiga biti moja hadi akatulia. Pale home anakaa na mdogo wangu wa kike napaties kila info, na mwaka huu nitafunga cctv.

Jinsia yyt ya kike haina haki ya kuelewa mishe za me, wakikuelewa tyr watakudharau. Hata kama huna hela ww jitahidi usisomeke tu
Ndio dawa yao.. nilisha ambiwa hela zote, niwe namkabizi 😅😅😅..
 
Aisee hii naona wanawake wa jf wamefuraa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tulieni bwana upepo tuu huu nyie mbususu zenu tamu tutawapa tuu mali tukiachana.
Humu wengi wetu ni bendera fuata upepo. Tunapoteza muda kuwadiscuss watu na wametuzidi mbali sana [emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna uzi flan nikiweka kuhus sheria za ndoa kufanyiwa marekebisho lakin nahs wali ushikiria:
Iko hiv wanawake wa sasaiv wamekuwa wanakasumba moja yakuto kusikiliza wanalotaka liwe,wanapenda sana kuish singo mother wakiamin awapat aza yoyote
Wanahamin ata angetafta mwanaume yy akizngua mar ztagawanywa ala akitafuta yy na akazngua mari zinabak kwakwe wakiamin mwanaume anaish katka har yoyote ndo maana unaona wanaume weng leo ni ma hopeless,stress kibao n.k
Asilimia kubwa ya wanawake leo wanakuja kuish kwa mwanaume kwa lengo flan na wala siyo upendo ndo maana unaona usaliti n mwing kwa wanawake yan sasaiv ukitafuta nyuz za wanaume kusalitiwa n nying kuliko za maendeleo.
NDIYO MAANA NKASHAUR WANAUME MALI ZETU ANDIKISHEN MAJINA YA MAMA ZENU IYO NDO NJIA RAHIS YA KUKUFANYA UISHI BILA STRESS NA MAGONJWA YA SUKAR NA BP
Mkuu shukrani


Una hoja nzuri ila uandishi wako unakufelisha
 
Back
Top Bottom