Wanawake wengi huamini wanastahili kuhudumiwa, yaani kumiliki uchi anadhani ni dhamana yake kwenye maisha wakati nyuchi ziko nyingi hadi vilabuni huko, Jay Z aliwahi kusema anamuoa Beyonce sababu kubwa ana akili, anajituma na anawajibika kwenye maisha yake mwenyewe,