Wanaume wengi sasa hivi wanavutiwa na wanawake wenye vipato

Wanaume wengi sasa hivi wanavutiwa na wanawake wenye vipato

Huduma hata vituo vya yatima inatolewa

Inamaana kûna Watu bado ishu ya familia NI mtihani kuelewa mantiki Yake
Ndio baadaye husema Ndoa NI utapeli
Haya nenda kwenye kituo cha yatima ukapate huduma.
Mzazi wako mwenyewe tuu ndani ya nyumba ukikosa huduma unamuona falaa tuu
 
Single mom ni laana haijalishi ana kipato au hana. Sio mwanamke wa kufanya naye maisha
 
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

Vijana wengi siku hizi hutafuta mabinti weñye kazi au kujishughulisha na mambo ya kiuchumi.

Mabinti wasio na kazi wamejikuta katika hali ngumu sana. Tena binti awe hana kazi alafu awe maskini au atoke familia maskini hakuna rangi àmbayo ataacha kuiona.

Hata matusi na kejeli za single mother zinawaumiza zaidi mabinti wasio na kazi na wanaotegemea wanaume kwa asilimia mi moja. Kwa wale wanawake wanaojiweza kejeli na matusi hayo hayana ñguvu kivile. Tenà kejeli hizô zikitolewa na vijana maskini au wanawake wasiojishughulisha ndîo kabisa zinakuwa kama kúpiga amapiano kwa mbuzi wa kimang'ati.

Wewe kalia maneno hapo kuwa ooh! Hao ni marioo sijui wanaume wa siku hizi wanakimbia majukumu, hiyo halibadilishi chochote kuwa soko la mwanamke mwenye kujishughulisha ni kûbwa tofauti na mwanamke mvivu àmbaye hataki kufanya kazi anategemea aolewe kwani ndoa kwàke ni ajira.

Vijana, usije ukasema taikon sikukusanua, kwa zama hizi ukitaka maisha mazuri, uunde familia stable na uache watoto kwèñye mikono salama, usikubali kuoa mwanamke àmbaye attitude yake ni kukutegemea, never ever.

Mwanamke àmbaye hataki kufanya kazi. Alafu hana sababu ya maana.

Sababu pekee àmbayo mwanamke hatakiwi kufanya kazi ni ugonjwa, ukilema, au kipindi cha uzazi au kama mimba inasumbua.

Lakini mtu ni mzima kabisa, alafu hataki kufanya kazi. Huyo atakutesa sana.

Pia soma: Vile wanawake wanapenda kutuendesha wanaume maskini

Kûna wale watu weñye dhana potofu kuwa mwanamke akiwa na kazi anakuwa na kiburi sijui anakuwa mjeuri, sijui anakuwa hana utiifu.

Hiyo ni dhana potofu.

Hakuna uhûsiano wowote baina ya kiburi, jeuri na kukosa utiifu kwa mwanamke na kufanya kwàke kazi.

Ila kûna uhûsiano wa karibu wa kiburi, ujeuri, kukosa utiifu kwa mwanamke na kutokukupenda. Mwanamke kama hakupendi hawezi kukutii, lazima awe kiburi, na jeuri.

Ukiona hakupendi lakini anakutii na hana kiburi ujue anakuigizia, anakufanyia drama, na wanawake ni wazuri wa kuigiza, pretenders, wazuri katika kumalizia mipira iliyokufa.

Sababu ñyiñgine ya mwanamke kuwa na kiburi, kukosa utiifu na kuwa jeuri ni tàbia mbaya ya mwanaume wake hasa tàbia ya usaliti. Hakika, mwanamke mwenye kujishughulisha na mwenye kipato hawezi kukuvumilia ukiwa unamfanyia usaliti na kumpiga màtukio ya wazi.

Wewe tumia akili kadiri utakavyoweza kuwa na michepuko lakini hakikisha mkeo hajui na hatakuja kukukamata kwa sababu hata usipofanya bado mkeo hawezi kuamini kuwa wewe hutaki na wanawake wengine.

Wanawake wanajua kabisa, mwanaume kamili hawezi kuwa na mwanamke mmoja. Yàani mkeo kîla akitazama pisikali huko mitaani akili yake haiwezi kuamini kuwa ati mumewe haioni na haioni onji huko nje.

Lakini mwanamke ana - appreciate ule uwezo wa mumewe kumheshimu na kuficha uchafu wake huko.

Binti yàngu lazima ujue kuwa, wanaume tunajua kabisa mwanamke mwenye kazi na kipato atachukua maamuzi gàni endapo akitufumania. Tunawaheshimu sana wake zetu wakiwa na kazi kwa sababu wanakuwa watu. Mtu lazima aheshimiwe.

Zaidi sana wanaume huumia wanapoachwa na wanawake bora àmbao hujishughulisha na kazi.

Mwanamke lazima uelewe kuwa kama vile wewe usivyoumia sana kuachwa na mwanaume maskini asiye na kazi wala kipato chochote ndivyo hivyohivyo na wanaume wengi hawaumii kuachwa na mwanamke asiye na kazi.

Mtu ataumia kuachwa na maskini kweli? Mtu ataumia kuachwa na mwanamke aliyekuwa mzigo?

Mwanamke elewa, vile àmbavyo unaona uafadhali kuachwa na mwanaume asiye na kazi kisha ukapata mwanaume mwingine mwenye kazi ndivyo hivyohivyo wanaume wengi wàpo hivyo.

Kuutua mzigo wengi hushukuru.

Wanawake wengi hujiuliza mbona wanaume wakiwaacha au kuwatelekeza na watoto hawawakumbuki hata kúpiga simu tuu.

Nani atamkumbuka maskini, nani atamkumbuka fukara?

Yàani akukumbuke ili umpige kibomu, wewe kîla siku lawama, wewe kîla siku mtoto anaumwa. Wewe kîla siku unataka pesa. Hata ni mimi siwezi kukukumbuka.

Wanawake single mother weñye kujiweza hukumbukwa kwa sababu hawalii lii njaa. Ikipigwa simu watu wanaongea mambo ya mtoto na maendeleo yake. Kama baba anachochote atatuma. Hakuna kelele kelele. Kwanza mwanaume mwenyewe anajishtukia hivyo anajikuta anatuma hata vielfu ishirini au kama hana kabisa basi hata kuwajulia hali.

Lakini kamwe umaskini hauwezi kupigiwa simu. Ufukara hauwezi kujuliwa hali. Ni mkosi kuujulia hali umaskini na ufukara. Ni sawa na kuonja sumu au kuki-beep kifo.

Binti yàngu fanya kazi, jitegemee, uweze kujitunza na kulea watu wako. Mambo yamebadilika sana. Ninyi sasa nanyi ni watu na man utu ndàni yenu. Na huo ndio utu.

Usipokuwa na kazi utakuwa mtumwa. Hautakuwa really. Utakuwa mnafiki nafiki tuu. Hautaheshimiwa. Alafu zaidi utaitwa majina mabaya sana.

Hakuna atakayekutaka. Alafu maskini mjinga na mvivu hanaga upendo, maskini mvivu ni kama mtumwa. Mtumwa hapendi.

Binafsi siamini katika upendo wa maskini mvivu. Siamini katika uaminifu wa maskini mvivu. Najua wengi siô waaminifu.

Binti fanya kazi. Mambo yamebadilika. Mtu ni mtu bila kujali ni mwanaume au mwanamke, mfupi au mrefu, mweusi au mweupe.

Usije ukajidanganya au kudanganywa.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa Sasa Dar es salaam

Umemaliza kila kitu 👏👏😀😅
Asomae na afahamu.
 
Mbaya zaidi wanawake wasio na vipato na wenye vipato vidogo wengi ni washirikina na wachawi.
Dhamiri zao zinawashuhudia kuwa they don’t deserve kuwa na Mwanaume msomi au mwenye kipato na huzani ili kujiweka kwenye safe side lazima wamroge Mwanaume wake.

Wanaroga mno
 
Wanawake tegemezi huwa hawajiamini wanahisi kuweza kuachwa wakati wowote au kushindwa kumtawala Mwanaume kwa hiyo njia wengi wanayotumia ni kuwaroga 👌👌
Mnalishwa vitu vya ajabu hadi vinyesi.
Mnafanyiwa ulozi hamjapa kuona.
 
Akikuaga Safari za mara kwa mara wengine wakienda kwenye misiba au shughuli wanasingizia kumbe wanaenda kuwaroga.
Wanaangalia Huyu bwana ana mwanamke mwingine?
Akiambiwa ndio anaroga, vunja nazi , vunja mayai viza, pofusha akili ya Mwanaume ili akitoka kazini ni home, roga kila mke anachokitaka kikubaliwe na mume 👌👌
 
Imagine unakuwa na mwanamke badała ya kuwa daraja anakutenganisha na wazazi wako na ndugu żako kwa kuwatia Iła mbalimbali ikiwepo uchawi
 
Kila mwanadamu amebeba kusudi la Mungu na apaswa kufanyakazi kuzalisha mali .

Ndoa au mahusiano ya mapenzi sio ajira.

Eti binti au mwanamke anakaa kusubiria aolewe ili ajikwamue 😆😆
 
Unatumia nguvu nyingi sana kutetea hoja ambayo unajua kabisa iko kinyume na nature,
Hitaji la mwanaume ni heshima ambayo hawezi kuipata kwa hawa wanawake wapambanaji wa kizazi hiki unaowatetea. Wengi hawahitaji mahusiano ikiwa tu watajimudu mahitaji yao kwa asilimia 100. Labda wewe ndo uwe unalazimisha kitu ambacho hakuwezekani kwa mwanaume halisi.
 
Viben10 na Mariooos kuna jambo lenu hapaa, mkujee harakaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku hizi wanawake wengi wanazani kuwa na K ni Mtaji tosha wa maisha.
Kwamba huhitaji tena kufanya kazi wala kuzalisha mali kwa jasho sababu ni mtoto wa kike.
Wao kazi hao ni kulała kucha rangi , mekaps na kuvaa mawigi.
Wanaume ndio wawape hela.

Maisha ni kufanya kazi, kazi ni kipimo cha utu

Tangu enzi za mababu mwanamke hodari ni mchapakazi na sio mvivu na goigoi .

Ikiwa mvivu na goigoi huolewi ng’ombe na ikitokea kuolewa unaachika 👌👌

Nani anataka mke mzigo?!
 
Na ukioa mke jobless wewe Mwanaume ujue utakuwa na kazi ya kutumza familia yako na ya wazazi na ndugu wa mkeo 👌👌

Very stressful indeed.

Wanawake wote unao ona wanafanyakazi kwa asilimia ku wa Hela zao wanasaidia wazazi wao na ndugu zao.

Mwanaume uwe unataka au hutaki.

Kama ni mlevi mkeo atakuwa anakuibia Hela ukiwa umelala fofofo anatuma kwao.
Wengine hadi wanajenga.

Na kama ni Hela za wizi utaogopa kumuuliza.

Sasa hiyo inakupunguzia stress Mwanaume za kuelemewa na ulezi/Wegazi wa familia nyingi.

Kwa hiyo asomaye na afahamu.
 
Wanaume walevi wengi huibiwa
Hela na wake zao wanapolala fofofo.

Na kwa kiwa wanaume wengi ni wasahaulifu ndio Basi tena.

Wanawake wengine hadi wana jenga kwa Hela za kuibia wanaume wao walevi.

Mwanamke jobless au kipato chake kidogo anapata wapi Hela ya kununua kiwanja na kujenga kama sio mwizi?

Anasingizia vikoba.
 
Kabisa mkuu naunga mkono hoja , ila pia kama mwanamke hana kipato tuwawezeshe wawe na kitu cha kufanya ili walete kitu mezani .
Suala la kumuwezesha ni jukumu la mzazi wake. Ana baba, mama, dada, kaka kwaiyo hakuna haja ya kuingilia majukumu yasiyokuhusu. Wewe haujatokea kwenye ukoo wa kitajiri bila shaka una ndugu ambao wana hitaji kuwezeshwa pia.
 
Back
Top Bottom