huna KAZI,
huna HADHI.
Vocha ni kitu cha kumnyima mtu???πππππππImagine unadate na mtu mzima 25+ yrs ila hana hata uwezo wa kununua vocha.
Unamuuliza kwanini hukua unareply texts anakujibu hana vocha, seriously!! Ana maana hata uwezo wa kuipata hana bila kutumiwa na mtu.
Hii ni hatari, hapo hapo ukimuuliza anahitaji mwanaume wa aina gani atakwambia sifa kibao za Me mwenye kipato moja kwa moja.
Kwakweli mwanamke golikipa hata mimi simkubali hata kidogo,
Vocha sio kitu ya kukosa.Vocha ni kitu cha kumnyima mtu???πππππππ