Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Wanawake hawataki upendo, wanataka mtumwa.


Wanataka mwanamume ambaye wanaweza kumtumia kufadhili mtindo wao wa maisha.


Maisha yakishakuwa magumu, watamtafuta mwanamume ambaye anaweza kuwafanyia kazi kwa bidii ili waishi maisha laini.


Wanataka mtu ambaye anaweza kulipa bili zao, wanataka mtu ambaye anaweza kutatua matatizo yao yote duniani.


HUYU MTUMWA[Wanaume] ANAPATA NINI KUTOKA KWAO? hakuna ila mateso, uchungu na majuto mwisho wa siku maana wanawake hawa hawana lolote la thamani la kuleta mezani.


Ni dhahiri kwamba wanaume wengi ni watumwa tu wa wanawake wao lakini hawajui kwa sababu wanawake wanaochumbiana nao wanawatumia tu kupata maisha rahisi na ya starehe bila kumpa mwanaume thamani yoyote ya kweli.
 
Hao simple sana akitaka next time muende sehem ya starehe nendeni kwa miguu

tembea kutoka posta kwenda nae coco akikataa nenda mwenyewe akijilalamisha mwambie una hela ya chakula tu huna usafiri
 
def_xcode rubii Qashy Lilith Gojaga Nize kuna baadhi ya wadada nliwakimbia sababu ya vizinga, nasubiri kwa hamu nione aina ya wanaume watakaowaoa, au hata kuzaa nao tu.
She calls you “baby,” and you’re handing over your ATM card, smiling like a f*ol.😄😄

Do you even know how many men she calls “baby” in a day?

Keep playing, you’ll learn the hard way.
 
🤣 Eti maafisa utamu
Yoo🙌🏾
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…