Under-cover
JF-Expert Member
- Nov 13, 2023
- 1,834
- 3,042
.
Mme waoa kwani hadi muwahudumie?Mmhh leo kazi ipo
View attachment 3227186
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mme waoa kwani hadi muwahudumie?Mmhh leo kazi ipo
View attachment 3227186
Kama unapoteza nae wakati ni sawq,ila mke ndo hamnaUnanishauri nini mkuu maana nilishamla mara mbili
Mkuu hata kupoteza nae muda pia naona ni changamotoKama unapoteza nae wakati ni sawq,ila mke ndo hamna
Ili sautinyake mie natakaiskia ikisifia kibamia changuMkuu mbona kachoka sana huyo kwasasa kuna nini cha kutamani pale
Uyo mdada Ni fundi WA saikolojia ya mizinga😅View attachment 3227162
Yani kazi ipo😁
30k kubwa, 10,000 bao moja na elf 3 ya chumba unakula pisi standard.Kwakifupi wanawake dunia ya sasa hapanaaaaaaaa.
Na ndio maana siku hiz malaya wameongezeka hata wale usiowategemea wanajiuza.
Maana watu tushaona aah sasa si bora ninunue malaya tu yaishe hakuna kugandana gandana. Na wao wana bei sasa?? Unalipa 30k,pisi nzuri tu , unakula ,imeisha.
Kama ni hivyo bac pambana mkuuIli sautinyake mie natakaiskia ikisifia kibamia changu
Melancholic Leejay49 Miss_Mariaah kuna mmoja aliniomba hela ya lunch, nkamwambia anatumia staili ya zamani kumkataa mwanaume , angesema tu hanitaki..Wanazo ila wameshtuka hawahongi kizembe
Hatari sana mkuu hapa anasikilizia 60k ndio kimbembe kilipoUyo mdada Ni fundi WA saikolojia ya mizinga😅
Mizinga ni mingi mkuu akili yako ukiwekeza kwa hawa viumbe utake kuwaridhisha umekwisha30k kubwa, 10,000 bao moja na elf 3 ya chumba unakula pisi standard.
Zamani nlikuwa nadhani wanaume wanaonunua wadada wanaojiuza barabarani ni wanaume flani hivi choka mbaya, siku nlienda chobiks nlishangaa wanaume wenye muonekano smart na yenye heshima wananunua maafisa utamu wanaosimama barabarani
Very sad life Fanton Mahal
Shangaa nawee hapo.Ila mwamba kazidi sana 10k tu unamsumbua binti kiac hicho je mimi ambae nimepigwa 60k itakuwaje, mimi ningempata huyu wa 10k mapema tu ningeshampa
Na asiyetoa pia hana. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ukiona mtu anaomba omba pia hana
Ukitaka mambo yasiwe mengi mwache awe free kwako, mi nikimdate mdada yeyote namweka kwenye angle ambayo anakuja free sana kwangu inakua ni rahis mi kujua ratiba zake na mambo yake mengi, mfano anasafiri means akinipa taarifa nasafiri wiki ijayo mi ntapiga hesabu kimya kimya ntajua nimpe Hela kiasi labda Kwa ajili ya nauli, tahadhari, msos etcMkuu saiv ukitongoza tu umekwisha utapewa bili za kila kitu kodi ya nyumba kusuka sijui nauli yani mambo kibao mkuu
😁😁😁😁😁 akakujibu vp sasaMelancholic Leejay49 Miss_Mariaah kuna mmoja aliniomba hela ya lunch, nkamwambia anatumia staili ya zamani kumkataa mwanaume , angesema tu hanitaki..
Hakujibu, Nlilimwa block ya nguvu Melancholic😁😁😁😁😁 akakujibu vp sasa
😂😂😂Wakwanza Mimi unaniombaje hela kindevi hivo sikujui unijui wataka nauli nikutumie Wacha niendelee kuonekana bahili pesa ni ngumu huku mtaani hamjui jmnHello wanajf
Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.
Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.
Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.
Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.
Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103
Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
Sasa mkuu mimi huyu wangu kwanza anataka nimpangie chumba, nimlipie nauli kwa mwez kasema nimpe 140k bado kuna kusuka na mambo mengine huku c kukomoana tuUkitaka mambo yasiwe mengi mwache awe free kwako, mi nikimdate mdada yeyote namweka kwenye angle ambayo anakuja free sana kwangu inakua ni rahis mi kujua ratiba zake na mambo yake mengi, mfano anasafiri means akinipa taarifa nasafiri wiki ijayo mi ntapiga hesabu kimya kimya ntajua nimpe Hela kiasi labda Kwa ajili ya nauli, tahadhari, msos etc