Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Wanaume wengi siku hizi wakiombwa msaada wa kipesa na wadada, wanahisi wanatapeliwa

Kwakifupi wanawake dunia ya sasa hapanaaaaaaaa.

Na ndio maana siku hiz malaya wameongezeka hata wale usiowategemea wanajiuza.

Maana watu tushaona aah sasa si bora ninunue malaya tu yaishe hakuna kugandana gandana. Na wao wana bei sasa?? Unalipa 30k,pisi nzuri tu , unakula ,imeisha.
30k kubwa, 10,000 bao moja na elf 3 ya chumba unakula pisi standard.

Zamani nlikuwa nadhani wanaume wanaonunua wadada wanaojiuza barabarani ni wanaume flani hivi choka mbaya, siku nlienda chobiks nlishangaa wanaume wenye muonekano smart na yenye heshima wananunua maafisa utamu wanaosimama barabarani

Very sad life Fanton Mahal
 
Sasa tupo kwenye 50/50.. kwanini mwingine awe na shida tuu, na mwingine awe anatatua shida za mwingine?

Kila mtu ashinde match zane.

Mwanamke akiomba, azima au.akitaka hela; hairudi... Kuliko kupoteza heri uamue umpe tu au usimpe kabisa.
 
30k kubwa, 10,000 bao moja na elf 3 ya chumba unakula pisi standard.

Zamani nlikuwa nadhani wanaume wanaonunua wadada wanaojiuza barabarani ni wanaume flani hivi choka mbaya, siku nlienda chobiks nlishangaa wanaume wenye muonekano smart na yenye heshima wananunua maafisa utamu wanaosimama barabarani

Very sad life Fanton Mahal
Mizinga ni mingi mkuu akili yako ukiwekeza kwa hawa viumbe utake kuwaridhisha umekwisha
 
Mkuu saiv ukitongoza tu umekwisha utapewa bili za kila kitu kodi ya nyumba kusuka sijui nauli yani mambo kibao mkuu
Ukitaka mambo yasiwe mengi mwache awe free kwako, mi nikimdate mdada yeyote namweka kwenye angle ambayo anakuja free sana kwangu inakua ni rahis mi kujua ratiba zake na mambo yake mengi, mfano anasafiri means akinipa taarifa nasafiri wiki ijayo mi ntapiga hesabu kimya kimya ntajua nimpe Hela kiasi labda Kwa ajili ya nauli, tahadhari, msos etc
 
Hello wanajf

Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.

Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.

Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.

Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.

Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103

Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
😂😂😂Wakwanza Mimi unaniombaje hela kindevi hivo sikujui unijui wataka nauli nikutumie Wacha niendelee kuonekana bahili pesa ni ngumu huku mtaani hamjui jmn
 
Ukitaka mambo yasiwe mengi mwache awe free kwako, mi nikimdate mdada yeyote namweka kwenye angle ambayo anakuja free sana kwangu inakua ni rahis mi kujua ratiba zake na mambo yake mengi, mfano anasafiri means akinipa taarifa nasafiri wiki ijayo mi ntapiga hesabu kimya kimya ntajua nimpe Hela kiasi labda Kwa ajili ya nauli, tahadhari, msos etc
Sasa mkuu mimi huyu wangu kwanza anataka nimpangie chumba, nimlipie nauli kwa mwez kasema nimpe 140k bado kuna kusuka na mambo mengine huku c kukomoana tu
 
Back
Top Bottom