Akiomba hela u aomba mbususu, hiyo ndio 50/50Sasa tupo kwenye 50/50.. kwanini mwingine awe na shida tuu, na mwingine awe anatatua shida za mwingine?
Kila mtu ashinde match zane.
Mwanamke akiomba, azima au.akitaka hela; hairudi... Kuliko kupoteza heri uamue umpe tu au usimpe kabisa.
Hilo jibu ni la mtu ambae aende sawa na hata asipoenda sawa pia 😂Nimecheka sana😂😂😂🤭
Acha tu mkuu yani siku ya kwanza tulivyokutana na madini aliyokuwa anatema utasema huyu ni mke kweli na kingine huwa aoni aibu kuomba hela halafu inaonekana hii michezo kashaizoea kwanza aogopi kwenda magetoni halafu anajisifu kwamba yeye aogopi mageto ya wanaume sababu anaweza kuja na usimfanye kitu halafu pia naona apendi kutoa mbususu coz wiki iliyopita nilimpeleka dynasty kule nikavunga kama kuuliza kama kuna room pande hizo nikaona kastuka sana na mara nyingi kwangu huwa anakuja pindi nywele zake zimefumuka nadhani ni hicho sana sana ndio huwa kinamleta ghetoBro ruuun, nimeshindwa kupata point ya kumtetea huyo girlfriend wako, maneno yake hayaendani na matendo yake, I think huyo girlfriend wako ni mjanja sana wa saikolojia ya wanaume
Kwa mimi wadada wa hivyo nshakutana nao, Yani ukikaa nao chini na kusikiliza maneno Yao, utasema kesho naoa, nimepata mke, ukimpa muda na kuendelea kukaa nae kwa ukaribu utagundua vingi alivyokuambiaga ni kamba Melancholic
Mkuu yani muda wote unakaa bila amaniNilikua nae wa kule mzee sikua napumua vyema alafu wajuaji hao😂😂😂
Kuna single maza Mmoja aliwahi kuniambia kwa pombe unazo kunywa Kodi ya 350,000 na 150,000 upkeeping cost yangu kwa mwezi haiwezi kukushinda.Nikamwambia uko sahihi kabisa.Miezi 8 Sasa nimem-block.Niache kuhudumia familia yangu nihangaike na ww unaeshinda Gym? ImpossibleSasa mkuu mimi huyu wangu kwanza anataka nimpangie chumba, nimlipie nauli kwa mwez kasema nimpe 140k bado kuna kusuka na mambo mengine huku c kukomoana tu
Safi sana mkuu sijui hawa viumbe huwa wanatuonaje?Kuna single maza Mmoja aliwahi kuniambia kwa pombe unazo kunywa Kodi ya 350,000 na 150,000 upkeeping cost yangu kwa mwezi haiwezi kukushinda.Nikamwambia uko sahihi kabisa.Miezi 8 Sasa nimem-block.Niache kuhudumia familia yangu nihangaike na ww unaeshinda Gym? Impossible
😀😀😀😀😀 aiseeeHiyo 60 ukiongeza 20 ukaitupia hapo telegram unaweza ukapata threesome safi kabisa bila effort yoyote ile. Effort weka kwenye vitu vyenye tija
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] daah!!!Hayo uliyoyasema sio mahusiano ni USAID na sasa tushagundua ni money laundry tunaenda na sera za Trump.
Frankly speaking nawaonaga kama dishi limeyumba boss.Safi sana mkuu sijui hawa viumbe huwa wanatuonaje?
Bora hasara kuliko fedhehaMkuu acha tu ni bora nikae pembeni
Eeeeh ! Stress kama zoteMkuu yani muda wote unakaa bila amani
Yeah mzee sio poaEeeeh ! Stress kama zote
Kabisa mkuuBora hasara kuliko fedheha
Vp ulienae sasa akusunbuiMiaka almost 6years
Wanawake wagogo (viombi, omba omba) hawana ishu......kosa tu awe na namba yako ya simu kila siku anakuwa na matatizo mapya huku yeye wala hajitumi. Yupo tu nyumbani kupiga umbea na kutafuta wanaume mitandaoni watakaomtatulia matatizo yake ya kujitakia. Dawa yao ni kuwasusa tu.Hello wanajf
Wanaume wengi siku hizi nimegundua tumekua wagumu wa kuweka effort kwenye mahusiano, hasa yakiwa mapya, namaanisha effort ya attention, pesa na juhudi, wanaume zamani tulikua tuko tayari kumsuburia mdada njiani masaa 3 huku tukiumwa na mbu na kumfukuzia miezi 8 hata miaka,, ili tu tupate nafasi ya kuongea naye, yakobo alifanya kazi miaka 14 kwa labani ili apate nafasi na alipie mahari ya kumuoa Rachel , ila siku hizi naona wanaume wengi tunawekeza effort ambayo ni ndogo sana kwenye mahusiano.
Mdada akiomba msaada wa kipesa, let's say ni kweli amekwama kipesa kama binadamu mwingine yeyote ambavyo angeweza kukwama, kwa wanaume wengi hata akitoa hiyo pesa atawaza mmh hapa natapeliwa.
Najiuliza sasa inakuaje unampenda mdada alafu akikuomba msaada, uhisi kwamba anataka kukupiga, wakati kama mtu umempenda, inatakiwa usiwe tayari kumwona mtu umpendae anapata shida yoyote, unakua unaamua kujitoa uwezavyo ili uweze mtoa kwenye hio shida.
Tangu lini kuombwa msaada wa kipesa na mdada, mara nyingi inaonekana na baadhi ya wanaume kuwa huo ni utapeli na fimbo ya kutupiga, na baadhi wanawake wanaona ni fimbo ya kupigia wanaume, wakati sometimes huenda ni kweli mtu anahitaji msaada huo, dunia sijui imekuaje.
Ref: ya screenshots toka kwa baadhi wanajf wa humu
View attachment 3227102
View attachment 3227103
Nimekumbuka maneno ya the late Kevin Samuels alisema kwenye dating world, winter is coming
ukitaka kujua kama mwanamke yupo real na ww hasa hawa kausha damu ww nenda kwao bila taarifa kamchumbie awe mchumba wakoNi jeuri sana pia mbishi na huwa ajishushi
mtangazie ndoa uone mbio yake anza taratibu za kumuoa uone atakavyo kimbia mbio kama kasongo.Acha tu mkuu yani siku ya kwanza tulivyokutana na madini aliyokuwa anatema utasema huyu ni mke kweli na kingine huwa aoni aibu kuomba hela halafu inaonekana hii michezo kashaizoea kwanza aogopi kwenda magetoni halafu anajisifu kwamba yeye aogopi mageto ya wanaume sababu anaweza kuja na usimfanye kitu halafu pia naona apendi kutoa mbususu coz wiki iliyopita nilimpeleka dynasty kule nikavunga kama kuuliza kama kuna room pande hizo nikaona kastuka sana na mara nyingi kwangu huwa anakuja pindi nywele zake zimefumuka nadhani ni hicho sana sana ndio huwa kinamleta gheto
Aaf wewe mbona ni mrembo hvyo jamani?Una hakika huyo demu hayupo humu jf😂😂