Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
Vp ilikuwa ni pc ya kueleweka maana hizo pc ndio zinakuwaga na jeuri hiyoHakujibu, Nlilimwa block ya nguvu Melancholic
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vp ilikuwa ni pc ya kueleweka maana hizo pc ndio zinakuwaga na jeuri hiyoHakujibu, Nlilimwa block ya nguvu Melancholic
Ulimpata wapi? Mna mda gani kwenye mahusiano? Ana shughuli Gani? Lifestyle lake lipoje?Sasa mkuu mimi huyu wangu kwanza anataka nimpangie chumba, nimlipie nauli kwa mwez kasema nimpe 140k bado kuna kusuka na mambo mengine huku c kukomoana tu
Kweli mkuu bora kila mtu afe na chake na mbaya zaidi mbususu unapimiwa sa c bora nikanunue malaya tu😂😂😂Wakwanza Mimi unaniombaje hela kindevi hivo sikujui unijui wataka nauli nikutumie Wacha niendelee kuonekana bahili pesa ni ngumu huku mtaani hamjui jmn
Sasa 😆 Apo chakufia nini penzi lenyewe haliniridhishi kuna app zinakimbiza mwendo wa kusema tuma nauli 😂😂aaaah weeeeeh Mimi sitatuma tena waniache na arosto zanguKweli mkuu bora kila mtu afe na chake na mbaya zaidi mbususu unapimiwa sa c bora nikanunue malaya tu
Huyo mdada aliekuomba 60kHatari sana mkuu hapa anasikilizia 60k ndio kimbembe kilipo
Unakuta unatoa kiasi chore unabaki unakula viazi vitam vya buku unaakili kwer ww😂😂Huyo mdada aliekuomba 60k
1)Angalia mfuko wako una ziada ya tsh ngapi
2) Angalia anaku treat vizuri au, je anakupikia, anakufulia, anakupa mbususu kwa wakati? Hata kama hakupikii na hakufulii je anapenda ku spend time na ww? Anapendaga akae tu na wewe mpige story?
3) Au huenda unamnyima coz humkubali kihivyo, sio mzuri kihivyo au kuna red flags ushaziona kwake, hivyo unasita kumpa hela
Tumia hizo factor 3 hapo juu kuamua kama utampa hela au la Melancholic
Nilimpata facebook huko, now tuna miezi mitatu ni reception kwenye hotel moja town life style yake ni kawaida tu but wazazi walishatengana halafu hawana maisha yeye anaish kwa bibi yake na nakumbuka aliwahi nambia kuwa apendi mwanaume bahili na asie na pesa nikamuuliza mbona mama yako alikubali kuolewa na baba yako japo ni choka mbaya akasema huyo ni mama yake sio yeyeUlimpata wapi? Mna mda gani kwenye mahusiano? Ana shughuli Gani? Lifestyle lake lipoje?
Alafu unakuta Jeuri huyo 😆Nilimpata facebook huko, now tuna miezi mitatu ni reception kwenye hotel moja town life style yake ni kawaida tu but wazazi walishatengana halafu hawana maisha yeye anaish kwa bibi yake na nakumbuka aliwahi nambia kuwa apendi mwanaume bahili na asie na pesa nikamuuliza mbona mama yako alikubali kuolewa na baba yako japo ni choka mbaya akasema huyo ni mama yake sio yeye
Ni mzuri wa kawaida tu, infact nlimwona fb, nlivomfata inbobo akadai ni mara ya 2 namfata wakati sikumbuki kama nshawahigi hata kuonana nae..Vp ilikuwa ni pc ya kueleweka maana hizo pc ndio zinakuwaga na jeuri hiyo
Ni jeuri sana pia mbishi na huwa ajishushiAlafu unakuta Jeuri huyo 😆
😂😂😂😂😂Wivu sasaNi jeuri sana pia mbishi na huwa ajishushi
Kuspend time namimi ofcouse anapenda but ni sehem za sterehe sana sana sio wife material swala la kufua au kupika huwa alizungumzii halafu kingine huwa azungumz kuhusu future yetu japo huwa namleta kwenye hizo stori ila naona kama achangii na kingine huyo mtoto anacheza michezo mingi kiac kwamba naona hata nikimpa pesa kiac gani bado hatoridhikaHuyo mdada aliekuomba 60k
1)Angalia mfuko wako una ziada ya tsh ngapi
2) Angalia anaku treat vizuri au, je anakupikia, anakufulia, anakupa mbususu kwa wakati? Hata kama hakupikii na hakufulii je anapenda ku spend time na ww? Anapendaga akae tu na wewe mpige story?
3) Au huenda unamnyima coz humkubali kihivyo, sio mzuri kihivyo au kuna red flags ushaziona kwake, hivyo unasita kumpa hela
Tumia hizo factor 3 hapo juu kuamua kama utampa hela au la Melancholic
Acha tu mkuu na nilimkuta kachakaa sana nikampendezesha tatzo ni jeuri na mjuaji sana😂😂😂😂😂Wivu sasa
Nilikua nae wa kule mzee sikua napumua vyema alafu wajuaji hao😂😂😂Acha tu mkuu na nilimkuta kachakaa sana nikampendezesha tatzo ni jeuri na mjuaji sana
Mkuuu nakuelewaa sanaaaMkuu saiv ukitongoza tu umekwisha utapewa bili za kila kitu kodi ya nyumba kusuka sijui nauli yani mambo kibao mkuu
Bro ruuun, nimeshindwa kupata point ya kumtetea huyo girlfriend wako, maneno yake hayaendani na matendo yake, I think huyo girlfriend wako ni mjanja sana wa saikolojia ya wanaumeKuspend time namimi ofcouse anapenda but ni sehem za sterehe sana sana sio wife material swala la kufua au kupika huwa alizungumzii halafu kingine huwa azungumz kuhusu future yetu japo huwa namleta kwenye hizo stori ila naona kama achangii na kingine huyo mtoto anacheza michezo mingi kiac kwamba naona hata nikimpa pesa kiac gani bado hatoridhika
Mkuu acha tu ni bora nikae pembeniNilikua nae wa kule mzee sikua napumua vyema alafu wajuaji hao😂😂😂
Safi sana SIMP,uko vizuri boss.Ukitaka mambo yasiwe mengi mwache awe free kwako, mi nikimdate mdada yeyote namweka kwenye angle ambayo anakuja free sana kwangu inakua ni rahis mi kujua ratiba zake na mambo yake mengi, mfano anasafiri means akinipa taarifa nasafiri wiki ijayo mi ntapiga hesabu kimya kimya ntajua nimpe Hela kiasi labda Kwa ajili ya nauli, tahadhari, msos etc
Miyeyusho sana 😂Huyu jamaa miyeyusho, nimecheka sana