ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
🤣🤣Huyu ukikaza unapiga.
ladies want to be with him, men want to be himBora wewe umejibu vizuri, nashangaa kuna baadhi ya wanaume huku wanakasirika na kuniita shoga, inaonekana ukweli unawauma 😁, biblia yenyewe inakiri kuwa yusufu alikua na sura nzuri Hadi akatongozwa na mke wa potifa ndo tuseme mwandishi wa kitabu cha mwanzo aitwae Musa alikua ni upinde. mshamba_hachekwi
Hakuna kwenda popote mzee mwanaume mzima uliyening’iniza kende mbili katikati ya mapaja unatoa wapi ujasiri wa kuchambua sura na maumbo ya wanaume wenzako?Nenda Majukwaa ya jokes na siasa mkuu
Tatzo hili.Eti tukae tujadili uzuri wa wanaume!
Mkuu uzuri wa mwanaume unaonwa na mwanamke,na uzuri wa mwanamke unaonwa na mwanaume kwa sababu kuna mvutano kati yao.Bora wewe umejibu vizuri, nashangaa kuna baadhi ya wanaume huku wanakasirika na kuniita shoga, inaonekana ukweli unawauma 😁, biblia yenyewe inakiri kuwa yusufu alikua na sura nzuri Hadi akatongozwa na mke wa potifa ndo tuseme mwandishi wa kitabu cha mwanzo aitwae Musa alikua ni upinde. mshamba_hachekwi
Anautaka.Hakika, hachomoi.
Kajamaa atakuwa kanatafunwaHii thread ilitakiwa ianzishwe na mwanamke .
Sasa ww mwanaume utajuaje uzuri wa mwanaume mwenzio?
Hajajua huyo aaron huo uzuri umekuzwa hiv juz tu baada ya kutusua. Yupo kitaaambo ila hata hakua ame trend. Pesa tu ndio imeleta maneno yote hayo kwa hao ma manziMkuu muonekano wako upo nje ya uwezo wako,
Na pia ni suala la kimtazamo sana, kuna wanawake Aaron hawavutii.
Usihangaike na hayo mambo tafadhali, utapata sonona.
Halafu Aaron mbona yupo tokea kitambo sana, umaarufu alioupata baada filamu yake ya Rebel Ridge ndo unambeba. Usijifananishe na watu maarufu.
Hawa ndo wale kabati zima limejaa vipodozi.watu washaanza kutafuta sura nzuri huku,tunaelekea wapi kama jinsia me
Ukishakuwa na mwili wa kiume, umemaliza kazi. Kataa vitambi.Kwa mwanaume uzuri sio sura ni appearance hakikisha unavaa saa mkononi unavaa miwani unavaa vizuri perfume kidogo be a gentleman don't chase attracts na huo ndio uanaume sasa.