ZINJANTHROPAZ
JF-Expert Member
- Aug 6, 2023
- 287
- 470
Kuna upande ni kwel na kuna upande sio kweli, ila inshu ya pesa iko hivi unapoitoa kwa mwanamke just for love au sex mana ake una dalaliwa hisia ili ukamwage tu bhc na sio et true love, na ndo mana una kuna pisi kali ina wana kwa ajil ya hela na wana kwa ajili ya true feelings thus mimi huwezi nambia nijtafte nikjpata ndo nione huo useng€ cwez fanya mana hawatokuja kwa ajil yangu watakuja kutafuna jasho langu kfupi tunaanza wote tumalze wote na hii sasa husaidia ndoa kudumu sio uko jitu linawaza talaka tu. mtanyooshwa mno mazwazwa.
sorry kdogo nmetoka kwa topic mm ni mkenya over.
sorry kdogo nmetoka kwa topic mm ni mkenya over.