Wanaume wengi tunajipa moyo kuwa uzuri wa mwanaume upo mfukoni, sababu tunajijua muonekano wa wengi wetu ni mbovu

Wanaume wengi tunajipa moyo kuwa uzuri wa mwanaume upo mfukoni, sababu tunajijua muonekano wa wengi wetu ni mbovu

Kuna upande ni kwel na kuna upande sio kweli, ila inshu ya pesa iko hivi unapoitoa kwa mwanamke just for love au sex mana ake una dalaliwa hisia ili ukamwage tu bhc na sio et true love, na ndo mana una kuna pisi kali ina wana kwa ajil ya hela na wana kwa ajili ya true feelings thus mimi huwezi nambia nijtafte nikjpata ndo nione huo useng€ cwez fanya mana hawatokuja kwa ajil yangu watakuja kutafuna jasho langu kfupi tunaanza wote tumalze wote na hii sasa husaidia ndoa kudumu sio uko jitu linawaza talaka tu. mtanyooshwa mno mazwazwa.
sorry kdogo nmetoka kwa topic mm ni mkenya over.
 
Bora wewe umejibu vizuri, nashangaa kuna baadhi ya wanaume huku wanakasirika na kuniita shoga, inaonekana ukweli unawauma 😁, biblia yenyewe inakiri kuwa yusufu alikua na sura nzuri Hadi akatongozwa na mke wa potifa ndo tuseme mwandishi wa kitabu cha mwanzo aitwae Musa alikua ni upinde. mshamba_hachekwi
ladies want to be with him, men want to be him

it's only that men won't admit it😁

juzi tu nafungua youtube nakutana na #AaronPierreisMufasa kila mahali.
 
Bora wewe umejibu vizuri, nashangaa kuna baadhi ya wanaume huku wanakasirika na kuniita shoga, inaonekana ukweli unawauma 😁, biblia yenyewe inakiri kuwa yusufu alikua na sura nzuri Hadi akatongozwa na mke wa potifa ndo tuseme mwandishi wa kitabu cha mwanzo aitwae Musa alikua ni upinde. mshamba_hachekwi
Mkuu uzuri wa mwanaume unaonwa na mwanamke,na uzuri wa mwanamke unaonwa na mwanaume kwa sababu kuna mvutano kati yao.

Alafu suala la uzuri ni mtazamo tu ww unacho kiona ni kizuri mwenzako anaweza kutafuta huo uzuri akaukosa.
 
Mwanaume kuwa nzuri inasaidia nn mkuu km hauko na pesa Kwa wallet ..
 
Mkuu muonekano wako upo nje ya uwezo wako,

Na pia ni suala la kimtazamo sana, kuna wanawake Aaron hawavutii.

Usihangaike na hayo mambo tafadhali, utapata sonona.

Halafu Aaron mbona yupo tokea kitambo sana, umaarufu alioupata baada filamu yake ya Rebel Ridge ndo unambeba. Usijifananishe na watu maarufu.
Hajajua huyo aaron huo uzuri umekuzwa hiv juz tu baada ya kutusua. Yupo kitaaambo ila hata hakua ame trend. Pesa tu ndio imeleta maneno yote hayo kwa hao ma manzi
 
Kwa mwanaume uzuri sio sura ni appearance hakikisha unavaa saa mkononi unavaa miwani unavaa vizuri perfume kidogo be a gentleman don't chase attracts na huo ndio uanaume sasa.
 
Kwa mwanaume uzuri sio sura ni appearance hakikisha unavaa saa mkononi unavaa miwani unavaa vizuri perfume kidogo be a gentleman don't chase attracts na huo ndio uanaume sasa.
Ukishakuwa na mwili wa kiume, umemaliza kazi. Kataa vitambi.

Haina haja ya kunukia sana, kwanza kunukia sana ni kama adhabu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] u mad my day kwanin lakin[emoji3][emoji3]
 
Back
Top Bottom