Wanaume wengi tunajipa moyo kuwa uzuri wa mwanaume upo mfukoni, sababu tunajijua muonekano wa wengi wetu ni mbovu

Wanaume wengi tunajipa moyo kuwa uzuri wa mwanaume upo mfukoni, sababu tunajijua muonekano wa wengi wetu ni mbovu

Balqior

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2021
Posts
2,406
Reaction score
8,039
Habarini

Huu ni ukweli mchungu ambao wadada na wakaka wengi wanashindwa kusema, wanaume wengi wetu sisi tuna vitambi kama tumebeba mimba, vimbaumbau, mwili mmoja rangi mbili, ngozi ya mwili kama ya mamba, meno kama foleni za madumu, halafu tunategemea tupate pisi kali

Asiwadanganye mtu uzuri wa mwanaume haupo mfukoni kwake tu, hata kwenye muonekano wake, 80% ya sisi wanaume tuna sura mbaya, mdada anaweza akaishi miaka 80 kwenye miaka yote iyo akakutana na wanaume wazuri labda watatu tu, wengine wooote sura mbovu, half tunalalamika wadada siku izi wanapenda hela, sasa watupendee nini kama muonekano yetu mibovu

Ndo maana ivi karibuni huyu Aaron piere katrend mtandaoni, sababu ya u handsome wake, karibia kila mdada anamuongelea, halafu mnasema uzuri wa mwanaume upo mfukoni, ooh tafuta hela upate pisi kali

Mtu akikwambia tafuta hela upate pisi kali, au akikwambia yule mdada kakukubali kwasababu una gari/nyumba/unamhonga, ujue kakutusi, indirectly kakuambia hauna muonekano mzuri, hivyo hakuna mdada atavutiwa na muonekano wako, labda aje kwako kufata hela.

Lamomy wajua mm muonekano wangu kwa mbaali nafanana na huyu jamaa Aaron piere hapa chini, ni kwa vile tu sina six pack na kifua 😅

1737981558690.jpg
 
Mkuu muonekano wako upo nje ya uwezo wako,

Na pia ni suala la kimtazamo sana, kuna wanawake Aaron hawavutii.

Usihangaike na hayo mambo tafadhali, utapata sonona.

Halafu Aaron mbona yupo tokea kitambo sana, umaarufu alioupata baada filamu yake ya Rebel Ridge ndo unambeba. Usijifananishe na watu maarufu.
 
Habarini

Huu ni ukweli mchungu ambao wadada na wakaka wengi wanashindwa kusema, wanaume wengi wetu sisi tuna vitambi kama tumebeba mimba, vimbaumbau, mwili mmoja rangi mbili, ngozi ya mwili kama ya mamba, meno kama foleni za madumu, halafu tunategemea tupate pisi kali

Asiwadanganye mtu uzuri wa mwanaume haupo mfukoni kwake tu, hata kwenye muonekano wake, 80% ya sisi wanaume tuna sura mbaya, mdada anaweza akaishi miaka 80 kwenye miaka yote iyo akakutana na wanaume wazuri labda watatu tu, wengine wooote sura mbovu, half tunalalamika wadada siku izi wanapenda hela, sasa watupendee nini kama muonekano yetu mibovu

Ndo maana ivi karibuni huyu Aaron piere katrend mtandaoni, sababu ya u handsome wake, karibia kila mdada anamuongelea, halafu mnasema uzuri wa mwanaume upo mfukoni, ooh tafuta hela upate pisi kali

Mtu akikwambia tafuta hela upate pisi kali, au akikwambia yule mdada kakukubali kwasababu una gari/nyumba/unamhonga, ujue kakutusi, indirectly kakuambia hauna muonekano mzuri, hivyo hakuna mdada atavutiwa na muonekano wako, labda aje kwako kufata hela.

Lamomy wajua mm muonekano wangu kwa mbaali nafanana na huyu jamaa Aaron piere hapa chini, ni kwa vile tu sina six pack na kifua 😅

View attachment 3215631
Huna kifua mkuu😂😂
 
Mkuu muonekano wako upo nje ya uwezo wako,

Na pia ni suala la kimtazamo sana, kuna wanawake Aaron hawavutii.

Usihangaike na hayo mambo tafadhali, utapata sonona.

Halafu Aaron mbona yupo tokea kitambo sana, umaarufu alioupata baada filamu yake ya Rebel Ridge ndo unambeba. Usijifananishe na watu maarufu.
Bora wewe umejibu vizuri, nashangaa kuna baadhi ya wanaume huku wanakasirika na kuniita shoga, inaonekana ukweli unawauma 😁, biblia yenyewe inakiri kuwa yusufu alikua na sura nzuri Hadi akatongozwa na mke wa potifa ndo tuseme mwandishi wa kitabu cha mwanzo aitwae Musa alikua ni upinde. mshamba_hachekwi
 
Back
Top Bottom