bora mim
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 556
- 751
Hahahahaha ayii...my ribs! kumbe mnabondwaga eee hehe komesha kabisa.
mkuu si ungejiita tu princes.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahahaha ayii...my ribs! kumbe mnabondwaga eee hehe komesha kabisa.
Hahahahaha ayii...my ribs! kumbe mnabondwaga eee hehe komesha kabisa.
We mtu unamuowa Chausiku au Mwajuma ndalandefu unategemea nn.. Yaani huyo akikushindwa kwa mangumi anabomoa nyumba apate matofali ya kukutwangia... Au atafusha flampeni ..TV ...deki ... Huku akikutolea maneno mwenyewe utanyweaKama hukuzingatia suala zima la size namaanisha umbo kama umeoa mtu ana uzito kuliko weye watagemea nini? sababu kuna watu wana maumbo madogo anaenda kuoa jimama la nguvu mi naona mpigwe tu.
Siyo kipigo kikubwa bana... Hicho huwa wanakaaKwani hapa wanazungumzia kipigo kipi? Nifafanulie nami nicheke.
Heri ya mwaka mpya swahiba....
ndo tunabondwa ndugu yangu
Tehe tehe, sijui atakuwa kwa michepuko! Maana,,
^^
mkuu si ungejiita tu princes.
Kwani hapa wanazungumzia kipigo kipi? Nifafanulie nami nicheke.
Heri ya mwaka mpya swahiba....
hii haiwahusu nyie wakurya maana iko vice versa mademu wenu wenyewe ndio wanaomba wapigwa japo kofi kabla ya kulala
mbona huwa tunakudunda hm, unashangaa nini hapa sasa??Kwani hapa wanazungumzia kipigo kipi? Nifafanulie nami nicheke.
Heri ya mwaka mpya swahiba....
igunga moujaaaaa! chezea shishi wewe!!Nuhu Mziwanda....