Wanaume wengi wa JF na facebook ni wachovu tofauti na wanaume wa mitandao mingine

hivi huwa watu wanafikilia nini humu ndani au wana hisi tupo kwenye mitandao ya kuwekaweka ujinga .......
 
umejitahidi sana kuwa time uwatoze hela wakakushtukia ndio umeamua kuja na huu uzi, ni shida sana, hamjawahi kukaa mkaonana mkaongea mkapanga moja mbili unataka akutumie hela kivipi huoni ww ndio unakatabia kasiko kazuri afadhali ungekaa kimya maana ulichofanya ni kosa ni sawa na kuingiza mkono mfukoni mwa mwanaume na kutaka kumchomoa hela ili usepe usirudie tena.
 
Utakuwa umeliwa kwa mkopo sio bure
 
utafiti wako umeufanya kwa mikoa mingapi? na ulitumia sample ya watu wangapi?
au ni mihemko imekupata?
 
Kumbe uko huku kutafuta mabuzi?
 
Khaaa wewe sasa si unatuonea kutusema na uchovu wetu.?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…